Utamaduni

Watanzania wapewa ofa wakajifunze Kirusi

CHUO Kikuu cha St Petersburg cha nchini Urusi kimetoa ofa maalum kwa Watanzania kujifunza lugha hiyo bila malipo. Taarifa ya…

Soma Zaidi »

Nafasi maofisa utamaduni kujazwa

WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Balozi Dk Pindi Chana amesema wizara yake inafanya mazungumzo na Ofisi ya Rais ,Tawala…

Soma Zaidi »

Miaka 50 ya Hip hop na vita ya dawa za kulevya, vurugu

WAHAFIDHINA wa tamaduni ya hip hop ‘Hip Hop Culture’, leo wanaadhimisha miaka 50 tangu kuanzishwa kwa utamaduni huo. Inaaminika utamaduni…

Soma Zaidi »

PURA wahimizwa kuziishi tunu za mamlaka

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (kushoto pichani), Mha. Charles Sangweni amewahimiza wafanyakazi wa PURA…

Soma Zaidi »

Filamu ya Eonii gumzo

FILAMU ya Eonii iliyoongozwa na Mtanzania Eddie Mzale, imeendelea kuwa gumzo kwenye maeeno mbalimbali na kumwagiwa sifa. – Filamu hiyo…

Soma Zaidi »

“Wadau utamaduni wahudumiwe kwa wakati”

KATIBU Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Saidi Yakubu amewataka watendaji na watumishi wa taasisi chini ya wizara hiyo…

Soma Zaidi »

Hollantex kufanya kazi na msanii mkubwa Bongo

Kampuni maarufu ya kutengeneza  vitenge ya Holantex imeleta msisimko mkubwa katika tasnia ya sanaa ya muziki wa kizazi kipya na…

Soma Zaidi »

Polisi kuchunguza tukio la aliyejirusha ghorofani

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema linachunguza tukio la kifo cha Mtu aitwae Joel Misesemo Chizi…

Soma Zaidi »

Sera ya Maendeleo ya Vijana Zanzibar yakamilika

WIZARA ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imesema rasimu ya Sera ya Maendeleo ya Vijana imekamilika, na lengo lake kubwa…

Soma Zaidi »

Shamsa Ford: Punguzeni kuniomba fedha

MWIGIZAJI Shamsa Ford amesema  watu wamekuwa wakimpigia simu na kumtumia ujumbe kwenye akaunti zake za mitandao ya kijamii kumwomba fedha.…

Soma Zaidi »
Back to top button