Utamaduni

Ubize wa wazazi, mmomonyoko wa maadili unavyowaweka watoto hatarini

“WAZAZI wengi tuko bize sana kutafuta fedha, hivyo hatushindi na watoto nyumbani na tukirudi tunakuta wamelala, tukiulizia tu wanaendeleaje basi…

Soma Zaidi »

Geita waandaa tamasha la sanaa na mavazi

WABUNIFU wa mitindo na mavazi mjini Geita wameanzisha tamasha la maonesho ya sanaa na mavazi, ‘Golden Fashion Festival’,  ili kuunga…

Soma Zaidi »

Basata yatakiwa kutafuta vipaji

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Pinda Chana amelitaka Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) kuandaa mwongozo wa kutekeleza programu ya…

Soma Zaidi »

Mambo yaanza Miss Pwani 2023

Mkoa wa Pwani umezindua rasmi kuanza kwa shindano la Miss Pwani mwaka 2023. Akizungumza na waandishi wa habari mkoani Pwani,…

Soma Zaidi »

Watakiwa kuepuka vishawishi, migogoro

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Mohamed Mchengerwa na Katibu Mkuu wa wizara hiyo  Dk Hassan Abbasi wametakiwa kuepuka vishawishi vya…

Soma Zaidi »

Mambo yaiva Dar kuwa na Sports Arena

WIZARA ya Utamaduni Sanaa na Michezo,   imepatiwa eneo la ekari 12 na Shirika la Nyumba (NHC) kwa ajili ya kujenga…

Soma Zaidi »

Mtwara washerehekea kuzaliwa Rais Samia

KATIKA kuadhimisha kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa Rais Dk Samia Suluhu Hassan, Mkoa wa Mtwara ukiongozwa na Mkuu wa Mkoa…

Soma Zaidi »

Heri ya siku ya kuzaliwa Rais Samia

RAIS Samia Suluhu Hassan leo anatimiza umri wa miaka 63. Alizaliwa Januari 27, 1960 katika Kijiji cha Kizimkazi, Mkoa wa…

Soma Zaidi »

Ruvuma wajipanga utalii wa kiutamaduni

WADAU wa utalii Mkoa wa Ruvuma wanakusudia kuanzisha na kukuza utalii wa kiutamaduni (cultural tourism) sanjari na kuboresha maeneo yote…

Soma Zaidi »

Washindana nyimbo kusherehekea mwaka wa Kichina

TAASISI ya Confucius ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), imeadhimisha mwaka wa kichina kwa wanafunzi wa kitanzania kwa…

Soma Zaidi »
Back to top button