Utamaduni

Washindana nyimbo kusherehekea mwaka wa Kichina

TAASISI ya Confucius ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), imeadhimisha mwaka wa kichina kwa wanafunzi wa kitanzania kwa…

Soma Zaidi »

Ufahamu Usiku wa Yalda wa Irani

MOJA ya sherehe kongwe zaidi za Kiajemi, Shab-e Yalda (Usiku wa Yalda), ambayo wakati mwingine hujulikana kama Shab-e Chelleh, huadhimishwa…

Soma Zaidi »

Waziri Mchengerwa azindua tamasha la utamaduni

Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo, Mohamed Mchengerwa amezindua Tamasha la Msimu wa Utamaduni wa Afrika Kusini na Tanzania linalotarajiwa…

Soma Zaidi »

Makamu wa Rais atoa maagizo kudumisha utamaduni

Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango ametoa wito kwa watanzania wote hususan wasanii wa kizazi kipya, kuepuka kuiga kila tamaduni…

Soma Zaidi »

Tanzania mwenyeji mkutano muziki Afrika

MKUTANO wa Music In Africa wenye lengo la kudumisha ushirikiano, kubadilishana uzoefu na kutumbuiza (ACCES), umepangwa kufanyika ukumbi wa Kituo…

Soma Zaidi »

Filamu zilizoshinda ZIFF kuoneshwa Dar, Iringa

FILAMU 11 zilizoshinda katika tamasha la filamu la nchi za majahazi ( ZIFF), zinatarajiwa kuoneshwa Tanzania Bara kuanzia Novemba 27…

Soma Zaidi »

Tamasha la Masai laja

TAASISI ya Masai Festival, imeandaa tamasha lenye kujumuisha jamii ya Wamasai, lengo likiwa ni kupongeza juhudi zinazofanywa na Rais Samia…

Soma Zaidi »

ASERI KATANGA: Mtanzania aliyetuzwa na Malkia kwa makubwa anayofanya Afrika

‘MCHEZA kwao hutuzwa’ ndio msemo wa Kiswahili unaofaa kumwelezea huyu Mtanzania, Aseri Katanga aliyekaribishwa ndani ya kasri ya Malkia Elizabeth…

Soma Zaidi »

Zuchu: Sichoti fedha za Diamond

MSANII wa Bongo Fleva nchini, Zuhura Othuman ‘Zuchu’ amesema matumizi mbalimbali anayofanya anatumia fedha zake na wala sio fedha za…

Soma Zaidi »

Kampeni Ngoma Juu ya Ngoma yazinduliwa

Kampuni ya Audiomack, imezindua kampeni inayojulikana kama Ngoma Juu Ya Ngoma, inayolenga kukuza ubunifu na kuuza muziki wa kitanzania na…

Soma Zaidi »
Back to top button