Madini

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Uwekezaji mkubwa sekta ya madini mapato yaongezeka

“Serikali imefanya uwekezaji mkubwa katika Sekta ya Madini, tumenunua mitambo mikubwa, mitano imeshafika nchini, kumi ipo njiani inakuja, mitambo hii…

Soma Zaidi »

‘Tanzania mbioni kuzalisha madini ya Niobium’

TANZANIA ipo mbioni kuanza uzalishaji wa madini ya Niobium ambayo ni moja ya madini adimu yanayotumika katika mitambo mbalimbali ikiwemo…

Soma Zaidi »

Serikali kurudisha minada ya madini ya vito

SERIKALI imesema inarudisha minada ya ndani ya madini ya vito itakayofanyika katika maeneo ya uzalishaji hususan Mirerani, Mahenge, Tunduru, Dar…

Soma Zaidi »

Serikali yaingiza bilioni 287 sekta ya madini

DODOMA : WAZIRI wa Madini Anthony Mavunde  amesema serikali imefanikiwa kukusanya shilingi bilioni 287 katika kipindi cha robo ya kwanza,…

Soma Zaidi »

Tanzania yajipanga kuteka soko la nishati safi

WAZIRI wa Madini ,Anthony Mavunde amesema Tanzania imejipanga kuteka soko la uuzaji wa madini ya kimkakati yanayozalisha nishati safi yanayohitajika…

Soma Zaidi »

TFS yaanza kutoa chanjo ya sumu ya nyuki

WAKALA wa Huduma za Misitu (TFS) imewataka watanzania kujifunza kutumia sumu ya nyuki kama njia mbadala ya kuimarisha kinga dhidi…

Soma Zaidi »

Wachimbaji madini Manyara watakiwa kushirikiana

MKUU wa Mkoa wa Manyara, Quinee Sendiga amewataka wachimbaji wa madini katika Mkoa wa Manyara kushirikiana katika kufanya kazi za…

Soma Zaidi »

THBUB yathibitisha hakuna ukiukaji

MARA : TUME  ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imebainisha kuwa  hakukuwa  na ukiukwaji wowote wa haki za…

Soma Zaidi »

Serikali kuongeza thamani ya tanzanite

ARUSHA : SERIKALI imesema ina mpangokazi wa kupandisha thamani ya soko la madini ya tanzanite kwenye soko la dunia. Waziri…

Soma Zaidi »

Vifungashio kuboreshwa kudhibiti utoroshaji madini

DAR ES SALAAM: TUME ya madini ipo kwenye mchakato wa kuboresha vifungashio vya madini katika masoko ya madini nchi nzima,…

Soma Zaidi »
Back to top button