Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Msanii Eze Nice aleta tumaini kwa watoto yatima

MSANII wa kizazi kipya, Eze Nice, emewashika mkono watoto walio katika mazingira magumu wa kituo cha Amani Centre baada ya…

Soma Zaidi »

Mnahesabu lakini pointi za Yanga?

DAR ES SALAAM: MABINGWA watetezi Young Africans wameizidi kutanua uongozi wao wa ligi baada ya kuifunga Singida Big Stars 2-1…

Soma Zaidi »

Kibu arejea kuikabili Namungo

DAR ES SALAAM; MSHAMBULIAJI Kibu Dennis amerejea kwenye kikosi cha Simba baada ya kukosa michezo miwili iliyopita ya timu hiyo…

Soma Zaidi »

Yanga, Singida Black Stars hapatoshi

LIGI Kuu Tanzania Bara inatarajia kuendelea leo kwa Yanga kuikaribisha Singida BS Uwanja wa KMC, Mwenge, Dar es Salaam na…

Soma Zaidi »

Viwanja 22 hekaheka ligi 5 bora Ulaya leo

MICHEZO ya Ligi Kuu tano bora barani Ulaya inaendelea leo kwenye viwanja tofauti England, Hispania, Ujerumani, Italia na Ufaransa. Majogoo…

Soma Zaidi »

Dar Swim Club yajipanga kufanya makubwa Kenya

TIMU ya kuogelea ya Dar es Salaam imepania kufanya vizuri katika mashindano ya kimataifa yatakayofanyika  Kenya Februari 15 na 16.…

Soma Zaidi »

Yanga: Biashara asubuhi, mahesabu jioni

UONGOZI wa klabu ya Yanga umeweka wazi kwa kusema kwamba una ushindani mkubwa na maadui wakubwa kinachowanusuru ni umoja, mshikamano…

Soma Zaidi »

Chasambi awapigia magoti Simba

KIUNGO wa Simba, Ladack Chasambi amewaomba radhi viongozi, wanachama na mashabiki wa klabu hiyo kwa kujifunga goli na kusababisha timu…

Soma Zaidi »

Polisi yaita mashabiki ikivaa Kiluvya Championship

TIMU ya Polisi Tanzania imeita mashabiki wake kujitokeza kwa wingi kuiunga mkono kuelekea mchezo wa Ligi ya Championship dhidi ya…

Soma Zaidi »

Vunjabei, Macho waitwa timu ya taifa ya ngumi

SHIRIKISHO la Ngumi Tanzania (BFT) limetangaza mabondia 15 wa timu ya taifa ya ngumi watakaoingia kambini kujiandaa na mashindano ya…

Soma Zaidi »
Back to top button