Bunge

Dk Mollel: Waganga wakuu msizuie maiti

DODOMA: Naibu Waziri wa Afya Dk Godwin Mollel amewataka Waganga wakuu wa mikoa na wa wilaya pamoja na waganga wafawidhi…

Soma Zaidi »

Watu 36 waliwa na mamba Buchosa

DODOMA; MBUNGE wa Buchosa, Eric Shigongo amesema bungeni kuwa, watu 36 wameliwa na mamba kwa nyakati tofauti jimboni kwake. Kutokana…

Soma Zaidi »

Serikali yavuna zaidi ya Sh bilioni 7 SWICA

DODOMA: Waziri wa Maliasili na Utalii, Angellah Kairuki amesema katika kuongeza mapato yatokanayo na shughuli za utalii, wizara yake imefanikiwa…

Soma Zaidi »

Wawekezaji kimkakati ruksa kuomba uraia

DODOMA: SERIKALI imesema ipo tayari kutoa uraia kwa wawekezaji wa miradi ya kimkakati. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alitoa msimamo huo…

Soma Zaidi »

Mitandao ya kijamii kutumika elimu kuhusu Muungano

DODOMA; SERIKALI imepanga kuongeza nguvu katika kutoa elimu ipasavyo kuhusu masuala ya Muungano kwa kutumia njia mbalimbali ikiwemo mitandao ya…

Soma Zaidi »

Shigongo ahoji utaratibu kurejeshwa RPL

DODOMA; MBUNGE wa Buchosa, Eric Shigongo amehoji bungeni ni lini serikali itarejesha utaratibu wa kutambua Maarifa Nje ya Mfumo Rasmi…

Soma Zaidi »

Watumishi 22,112 kuajiriwa afya, elimu

DODOMA; SERIKALI imesema katika mwaka 2023/2024 Serikali inatarajia kuajiri jumla ya watumishi 22,112 wakiwemo wa afya 10,112 na elimu 12,000,…

Soma Zaidi »

Mbunge ahoji kigezo cha kuandika mtihani kujiunga VETA

DODOMA; MBUNGE wa Viti Maalum, Rose Tweve, amehoji bungeni kaa kigezo cha mtihani wa kuandika kabla ya kujiunga na Vyuo…

Soma Zaidi »

Wabunge wapitisha bajeti Wizara ya Ujenzi

DODOMA; WABUNGE leo Mei 30,2024 wamepitisha bajeti ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka fedha 2024/2025 yenye vipaumbele tisa. Wizara ya…

Soma Zaidi »

Serikali kuja na bajeti rasmi barabara zilizoharibiwa

DODOMA; SERIKALI imesema wakati wa bajeti kuu itakuja na tamko la bajeti mahususi kurejesha barabara zilizoharibiwa na mvua. Kauli hiyo…

Soma Zaidi »
Back to top button