Dodoma

Norway yajionea utekelezaji miradi ya TASAF

UJUMBE wa watu kutoka Serikali ya Norway umetembelea ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dodoma kuona maendeleo ya mpango wa kunusuru…

Soma Zaidi »

Wabunge wapigilia msumari agizo la Samia TBA

WABUNGE wameshauri Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kushirikiana na sekta binafsi ili kuongeza uwezo wa kujenga nyumba nyingi zitakazosaidia kupunguza…

Soma Zaidi »

Wamachinga Dodoma waanza kuhamia soko jipya

KUANZIA leo wamachinga katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma, wanaanza kuhamia kwenye soko jipya la kisasa ambalo ujenzi wake umekamilika…

Soma Zaidi »

Serikali yasitisha ujenzi holela vituo vya mafuta

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angelina Mabula ameagiza kusimamishwa kwa ujenzi wa majengo yanayojengwa kinyume cha…

Soma Zaidi »

Sheria mpya ya usimamizi wa maafa yafanyiwa kazi

SERIKALI imeandaa mapendekezo ya kutungwa kwa sheria mpya ya usimamizi wa maafa ili kuweka mfumo wa udhibiti na uratibu wa…

Soma Zaidi »

Asilimia 99.99 ya kaya zahesabiwa

SERIKALI imesema imefanikisha Sensa ya Watu na Makazi kwa kuhesabu kaya asilimia 99.99 na majengo asilimia 99.87. Kamisaa wa Sensa…

Soma Zaidi »

RC akagua miradi Kongwa

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amefanya ziara wilayani Kongwa iliyohusisha kukagua mradi wa maji pamoja na wa kituo…

Soma Zaidi »

Majaliwa asisitiza uadilifu ujenzi mji wa serikali

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa, amewataka viongozi waliopewa dhamana ya kusimamia awamu ya pili ya mradi wa ujenzi wa Mji wa…

Soma Zaidi »

Mtemi wa Wagogo adai ana uwezo wa kuita mvua

MTEMI Yassin Biringi wa Dodoma Makulu, amedai miongoni mwa vitu alivyoachiwa ni mawe ya tambiko yanayotumika kuita mvua pale zinapochelewa,…

Soma Zaidi »

‘Tumieni fursa ya msamaha kusalimisha silaha haramu’

SERIKALI imewataka wananchi wote wanaomiliki silaha  kinyume cha sheria, watumie fursa ya msamaha kusalimisha silaha wanazozimiliki isivyo halali. Kauli hiyo…

Soma Zaidi »
Back to top button