Year: 2022

Jamii

Wataka uwiano sawa wa walimu mjini na vijijini

WADAU wa elimu mkoani Mwanza wamelalamikia kutokuwepo kwa uwiano sawa wa walimu kati ya halmashauri za mjini na vijini. Walidai…

Soma Zaidi »
Uchumi

Sangara wapungua Ziwa Victoria

SAMAKI aina ya sangara wamepungua katika Ziwa Victoria kutoka tani 537,479 mwaka 2020 hadi tani 335,170 kwa mwaka 2021. Ofisa…

Soma Zaidi »
Jamii

Bil 580/- zaenda kaya maskini

MFUKO wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) imetumia zaidi ya Sh bilioni 580.2 kuwalipa walengwa kutoka kaya maskini tangu kuanza kipindi…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mabasi yatozwa faini kupandisha nauli

MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), imeyachukulia hatua mabasi 62 ikiwa ni pamoja na kuyatoza faini ya Sh 250,000 kila…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Inonga yupo Simba hadi 2025

KLABU ya Simba ya Dar es Salaam imetangaza kumuongezea mkataba wa miaka miwili beki wake raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia…

Soma Zaidi »
Jamii

Bwana harusi ajinyonga akisubiriwa ukumbini

SWADIKA Abasi (50), mkazi wa Kiseke katika Manispaa ya Ilemela amejinyonga hadi kufa kwa mtandio sebuleni kwake baada ya kujifunga…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Giniki, Sakillu wang’ara tamasha la Karatu

EMMANUEL Giniki na Jackline Sakillu wameng’ara katika msimu wa 21 wa Tamasha la Michezo na Utamaduni la Karatu baada ya…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Yanga, Azam FC vita ya kileleni

VINARA wa Ligi Kuu Bara, Yanga wanatarajiwa kushuka dimbani leo dhidi ya wenyeji Azam FC katika mchezo wa mzunguko wa…

Soma Zaidi »
Infographics

Halmashauri yaanza kufuatilia marejesho nyumba kwa nyumba

HALMASHAURI ya Mji wa Geita imeanzisha ufuatiliaji wa marejesho ya mikopo isiyo na riba kwa makundi maalumu, nyumba kwa nyumba…

Soma Zaidi »
Wanawake

Irnestina, mwanamke aliyejikomboa kiuchumi kwa ubunifu

Kwa sasa anamiliki kiwanda, biashara 18 Ana tuzo tatu, ikiwemo ya Malkia wa Nguvu  MITANDAO ya kijamii imekuwa changamoto kwa…

Soma Zaidi »
Back to top button