Year: 2022

Infographics

TPDC yachangia Tsh bilioni 295/-mfuko wa mafuta na gesi

SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limechangia kwenye Mfuko wa Mafuta na Gesi kiasi cha Sh bilioni 295.55 kwa…

Soma Zaidi »
Podcast

HABARI KUU: Disemba 14, 2022

Habari kuu zilizotufikia katika chumba cha HabariLEO Disemba 14, 2022

Soma Zaidi »
Siasa

Mwenyekiti Wazazi CCM Dar hataki ‘chawa’

MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Dar es Salam, Khadija Ally, amesema hataki watu…

Soma Zaidi »
Jamii

Wapinga anayedaiwa rushwa ya ngono kuhukumiwa

WANAMTANDAO wa kupinga rushwa ya ngono Tanzania wenye mashirika jumuishi zaidi ya 150, yanayounda mtandao wa kupambana na rushwa ya…

Soma Zaidi »
Tanzania

Ndejembi ataka vipawa vya watumishi viendelezwe

NAIBU Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deo Ndejembi amewataka waajiri nchini kuongeza ubunifu…

Soma Zaidi »
Tanzania

TBA yapewa mwezi mmoja kukamilisha ujenzi nyumba ya jaji

Naibu Waziri wa Ujenzi, Eng. Godfrey Kasekenya, ametoa mwezi mmoja kwa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), kuhakikisha wanakamilisha ujenzi wa…

Soma Zaidi »
Jamii

Wataka rushwa ya ngono itenganishwe na nyingine

MTANDAO wa Kupinga Rushwa ya Ngono Tanzania, umemwomba Rais Samia Suluhu Hassan na Bunge la Tanzania, kukataa pendekezo la kifungu…

Soma Zaidi »
Jamii

Polisi yadaka bodaboda wasumbufu 127

POLISI Mkoa wa Arusha imeendesha operesheni maaalum, ambapo waendesha pikipiki 127 pamoja na pikipiki 125 zilikamatwa kwa makosa mbalimbali, ikiwemo…

Soma Zaidi »
Biashara

Sh Bil 1.1  zanogesha ukarabati Mv Tanga

Zaidi ya Sh bil 1.1 zimetumika kufanya ukarabati wa kivuko cha Mv Tanga, ambacho kinatoa huduma ya usafiri eneo la…

Soma Zaidi »
Jamii

Mama mbaroni akidaiwa kuua mwanawe wa miaka 4

JESHI la Polisi mkoani Mtwara linamshikilia mwanamke Mwazanije Dadi, mwenye umri wa miaka 34, akidaiwa kumuua mtoto wake Najma Ahmad…

Soma Zaidi »
Back to top button