Year: 2022

Michezo na Burudani

Nabi akiri Kagera ilikuwa ngumu

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amesema kuwa kutokana na uchovu na aina ya uwanja, alijua kuwa mchezo dhidi ya…

Soma Zaidi »
Tanzania

Kijana aua mwanamke

MWANAMKE mkazi wa Kitongoji cha Chang’ombe katika Kijiji cha Kaloleni wilayani Songwe, ameuawa na mwili kukatwa vipande vipande huku ikidaiwa…

Soma Zaidi »
Jamii

Viongozi mbaroni kwa kuuza ardhi

JESHI la Polisi limewakamata viongozi wanne wa vijiji wilayani Handeni, Tanga kwa tuhuma za kuuza ardhi zaidi ya ekari 500…

Soma Zaidi »
Wanawake

Wanufaika wa mikopo waipongeza serikali

WAJASIRIAMALI katika Jiji la Dodoma walionufaika na mikopo ya Sh milioni 170 iliyotolewa na serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya…

Soma Zaidi »
Tanzania

Ulega: Wajengeeni uwezo

NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi,  Abdallah Ulega amesema umefika wakati wataalamu wa mifugo kujengewa uwezo ili kutoa huduma zaidi…

Soma Zaidi »
Madini

Wahimizwa kuacha maeneo uwekezaji nishati jadidifu

HALMASHAURI nchini zimeshauriwa kuona umuhimu wa kutenga maeneo kwa ajili ya uwekezaji wa miradi ya nishati jadidifu, jambo litakalowarahisishia wawekezaji…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mkurugenzi aridhishwa na utayari wa wanafunzi

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Joseph Mafuru ameridhishwa na maandalizi na utayari wa wanafunzi wa kidato cha nne…

Soma Zaidi »
Kanda

Wazazi wa wanafunzi 191 watoro kusakwa

HALMASHAURI ya Wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita imejipanga kuwasaka, kuwakamata na kuwachukulia hatua wazazi wa wanafunzi 191 ambao hawajafanya mtihani…

Soma Zaidi »
Habari Kwa Kina

Mfuko wa Barabara ulivyoleta mageuzi ya barabara

MFUKO wa Barabara na bodi yake (Roads Fund Board) vilianza kufanya kazi mwaka 2000 na vilianzishwa kupitia Sheria ya Tozo…

Soma Zaidi »
Tanzania

‘Mashirika yasiyo ya kiserikali yasimamiwe’

MAOFISA Maendeleo ya Jamii wa halmashauri zote nchini wametakiwa kutambua na kufuatilia utekelezaji wa mashirika yasiyo ya kiserikali katika maeneo…

Soma Zaidi »
Back to top button