Year: 2023

Africa

Waliokufa mafuriko Somalia wafikia 29

SOMALIA: IDADI ya watu waliokufa kutokana na mafuriko yanayoendelea nchini Somalia imefikia 29, Shirika la Kitaifa la Kukabiliana na Majanga…

Soma Zaidi »
Fedha

Wapigaji fedha za miradi kukiona

ARUSHA; Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella amekemea tabia ya wahandisi kuletewa fedha za miradi kutoka serikalini  na badala…

Soma Zaidi »
Dodoma

Samia avunja bodi TCRA

DODOMA: RAIS Samia Suluhu Hassan amevunja Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) pia amemteua Mkurugenzi mpya wa Shirika la…

Soma Zaidi »
Dodoma

Biteko atoa maagizo makali kwa EWURA

DODOMA: Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,  Dk. Doto Biteko amewataka Watendaji na Watumishi wa Mamlaka ya Udhibiti wa…

Soma Zaidi »
Sayansi & Teknolojia

Wanafunzi wabuni roboti inayotabasamu darasani

DAR ES SALAAM: WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari ya Kimbiji wametengeneza Roboti ya gari inayotabasamu wakiwa darasani. Uvumbuzi huo unaotambulika…

Soma Zaidi »
Diplomasia

Tanzania na Australia zajivunia safari ya pamoja

DAR ES SALAAM: Naibu Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor amesema ushirikiano Kati ya…

Soma Zaidi »
Sayansi & Teknolojia

Kiwanda cha betri kujengwa nchini

DODOMA: TANZANIA kwa kushirikiana na serikali ya Marekani inakamilisha taratibu za ujenzi wa kiwanda cha kuchakata madini ya kutengenezea betri…

Soma Zaidi »
Tanzania

Wamshukuru Rais Samia ujenzi shule Longido

WAFUGAJI wanaoishi kijiji cha Oltepesi wilayani Longido wamemshukuru Rais Samia Hassan Suluhu kwa ujenzi wa shule ya sekondari ya Wasichana…

Soma Zaidi »
Infographics

Malezi bora tiba ukatili kwa watoto

WAZAZI wametakiwa kuhakikisha wanasimamia vyema malezi ya watoto ili kuwanusuru na masuala mazima ya vitendo vya ukatili ambayo vimekuwa vikitokea…

Soma Zaidi »
Tanzania

Kampuni 250 zakutana mabadiliko tabia nchi

ZAIDI ya kampuni 250 zinatarajia kushiriki Kongamano la Suluhu za Mazingira (NBS) linalolenga kujadili fursa za uwekezaji katika soko la…

Soma Zaidi »
Back to top button