Year: 2024

Kimataifa

Watu 10 wameuawa kimakosa Nigeria

NIGERIA : WATU wapatao 10 wameuawa kimakosa wakati ndege ya jeshi la Nigeria iliyokuwa inawafuatilia majambazi katika vijiji viwili ilipowashambulia…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Duck-soo kupigiwa kura kuondoka madarakani

KOREA KUSINI : Korea Kusini kupiga kura ya kumuondoa madarakani Makamu wa Rais, Han Duck-soo, wiki mbili baada ya bunge…

Soma Zaidi »
Featured

MATUKIO MAKUBWA YA MWAKA 2024: Treni ya SGR yainogesha Dar, Moro, Dodoma

MRADI mkubwa wa Reli ya Kisasa (SGR) nchini Tanzania, ambao unalenga kuboresha usafiri wa abiria na mizigo, umeendelea na mafanikio…

Soma Zaidi »
Tanzania

Sababu 4 zatajwa kuimarika uchumi, Shilingi

DAR ES SALAAM; MWANASIASA mkongwe nchini, Stephen Wasira ametaja sababu nne zilizofanya uchumi kuimarika pamoja na kuongezeka thamani kwa Shilingi…

Soma Zaidi »
Featured

Mv Serengeti yapinduka, yazama Mwanza

MWANZA; MELI ya Mv Serengeti imepinduka na kuzama kwenye Bandari ya Mwanza Kusini ikiwa imefungwa katika gati bandarini hapo. Taarifa…

Soma Zaidi »
Featured

MATUKIO MAKUBWA MWAKA 2024: Kanisa la Anglikana laomba msamaha

MEI mwaka huu Kanisa la Anglikana liliomba radhi kwa Kanisa la Tanzania kwa makosa liliyowafanyia watu wa Zanzibar wakati wa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mil 10/- kuanzisha chama cha ushirika bodaboda Arusha

RAIS Samia Hassan Suluhu ametoa Sh milioni 10 kwa uongozi wa waendesha bodaboda Wilaya ya Arusha kwa ajili ya kuanzisha…

Soma Zaidi »
Afya

Wamuombea msaada wa matibabu kwa Rais Samia

SHIRIKISHO la Mchezo wa Bao Tanzania (Shimbata) limemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kumsaidia gharama za matibabu Rais wa shirikisho hilo…

Soma Zaidi »
Infographics

ACT yatoa wito kumaliza vurugu Msumbiji

CHAMA cha ACT- Wazalendo kimetoa wito kwa serikali kuhakikisha inadhibiti mpaka wa Msumbiji na mikoa jirani ya Tanzania ili kulinda…

Soma Zaidi »
Tahariri

Ajali za barabarani zifike mwisho

AJALI za barabarani zimekuwa tishio nchini. Mbali na uharibifu mkubwa wa mali, zimegharimu maisha ya mamia ya Watanzania ambao ni…

Soma Zaidi »
Back to top button