Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

TRA yataka wafanyabiashara wasiogope kodi

TRA yataka wafanyabiashara wasiogope kodi

GEITA; MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Geita, imewataka wafanyabishara kufanya biashara zao bila woga wa sheria ya kodi,…
Samia: Tanzania, Zambia zisishindane, ziwezeshane

Samia: Tanzania, Zambia zisishindane, ziwezeshane

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania na Zambia zisishindane ila ziwezeshane kibiashara ili kujikomboa kiuchumi. Pia Rais Samia ameunga mkono…
Dk Mwinyi awapa raha wafanyabiashara wadogo

Dk Mwinyi awapa raha wafanyabiashara wadogo

ZANZIBAR; Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema ametekeleza ahadi yake aliyoitoa wakati wa…
Msitumie madalali maduka ya kubadili fedha

Msitumie madalali maduka ya kubadili fedha

KAGERA; Bukoba. Wafanyabiashara ambao wanaomba lesseni za kufungua maduka ya kubadilisha fedha za kigeni Benki Kuu ya Tanzania (BoT), wametakiwa…
“Ongezeni jitihada kuwafikia wafanyabiashara wadogo”

“Ongezeni jitihada kuwafikia wafanyabiashara wadogo”

WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela), imeagizwa kuwafikia wafanyabiashara ambao hawajarasimishwa ili kusajili biashara zao kwa lengo la…
Taasisi kukwamua wakulima kiuchumi zao la maharage, alizeti

Taasisi kukwamua wakulima kiuchumi zao la maharage, alizeti

TAASISI ya Kuboresha Mifumo ya Masoko ya Kilimo Nchini (AMDT) imejidhatiti katika kuiunga mkono serikali kuwakwamua wakulima kiuchumi wa maharage…
SACCOS watakiwa kujisajili

SACCOS watakiwa kujisajili

MWANZA: VYAMA vya Ushirika wa Akiba na Mikopo Nchini(SACCOS) vimetakiwa kujisajili ili  kutambulika kisheria. Wito huo ulitolewa leo na Mtendaji…
Benki yaongoza kuunganisha wateja

Benki yaongoza kuunganisha wateja

BENKI ya Stanbic inashikilia nafasi ya nne kwa ukubwa nchini kutokana na kuwaunganisha wateja ikiwemo vijana sanjari na kuwezesha mtangamano…
Mkataba uwekezaji bandari ni wa miaka 30

Mkataba uwekezaji bandari ni wa miaka 30

DODOMA; SERIKALI imeingia mkataba wa miaka 30 na Kampuni ya DP World ya kuendesha bandari ya Dar es Salaam. Mikataba…
‘Milango ipo wazi sekta binafsi kuwekeza’

‘Milango ipo wazi sekta binafsi kuwekeza’

DODOMA: SERIKALI imesema maendeleo ya nchi ni shirikishi, hivyo milango ipo wazi kwa sekta binafsi kuwekeza nchini na kufanya biashara.…
Back to top button