Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
IMF yatabiri uchumi wa Tanzania kuongoza EAC
April 25, 2023
IMF yatabiri uchumi wa Tanzania kuongoza EAC
RIPOTI ya Shirika la Fedha Duniani (IMF) imesema katika miaka kumi ijayo, uchumi wa Tanzania utakua kwa kasi kuliko Kenya…
Soko la Machinga Tanga kugharimu Sh bil 7.7
April 24, 2023
Soko la Machinga Tanga kugharimu Sh bil 7.7
HALMASHAURI ya Jiji la Tanga inatarajia kutumia kiasi cha Sh bil 7.7 kwa ajili ya kujenga soko la kudumu ambalo…
Wajasiriamali Dodoma watakiwa kuchangamkia fursa
April 21, 2023
Wajasiriamali Dodoma watakiwa kuchangamkia fursa
MBUNGE wa Dodoma Mjini Anthony Mavunde amewataka wajasiriamali waliopo katika makundi maalum jijini Dodoma kuchangamkia fursa za zabuni mbalimbali zinazotangazwa…
Serikali yataka ubunifu kuendesha mashirika
April 21, 2023
Serikali yataka ubunifu kuendesha mashirika
MSAJILI wa Hazina, Nehemiah Mchechu ameagiza wenyeviti wa bodi za wakurugenzi za taasisi, mashirika ya umma na wakala za serikali…
Serikali yaweka rekodi usajili miradi
April 21, 2023
Serikali yaweka rekodi usajili miradi
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema katika kipindi cha mwaka 2021 hadi Januari, mwaka huu serikali imesajili miradi ya uwekezaji 537…
Bandari Mtwara yazindua huduma ya makasha
April 20, 2023
Bandari Mtwara yazindua huduma ya makasha
BANDARI ya Mtwara mkoani Mtwara imezindua huduma ya meli ya kusafirisha makasha. Huduma hizo zimezinduliwa leo Aprili 20, 2023 na…
Serikali yaomba muda kuimilikisha ndege atcl
April 20, 2023
Serikali yaomba muda kuimilikisha ndege atcl
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, George Simbachawene amesema serikali inaomba ipewe muda kufanyia kazi…
Mageuzi yaja usimamizi kwa mashirika ya umma
April 20, 2023
Mageuzi yaja usimamizi kwa mashirika ya umma
MSAJILI wa Hazina, Nehemia Mchechu ametangaza mageuzi katika ofisi yake, taasisi, mashirika ya umma na wakala wa serikali ili kuongeza…
Marufuku tumbaku kuuzwa kampuni zisizo na leseni
April 19, 2023
Marufuku tumbaku kuuzwa kampuni zisizo na leseni
BODI ya Tumbaku Tanzania (TTB), imewaagiza wakulima wa tumbaku katika maeneo yote yanayozalisha zao hilo nchini kutouza zao hilo la…
Taasisi, mashirika yatakiwa kupunguza utegemezi
April 19, 2023
Taasisi, mashirika yatakiwa kupunguza utegemezi
TAASISI na mashirika ya umma yanayojiendesha kibiashara yametakiwa kuhakikisha yanajiendesha yenyewe kwa faida wanazozipata, lengo likiwa kupunguza utegemezi kutoka serikalini.…