Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Japan kutoa tril 70/- za miradi, mazingira Afrika

Japan kutoa tril 70/- za miradi, mazingira Afrika

SERIKALI ya Japan imeahidi kutoa dola za Marekani bilioni 30 (sawa na Ths 69.9 za Tanzania ) kuziwezesha nchi za…
Kiwanda cha bil 725/- kutoa ajira 7,655

Kiwanda cha bil 725/- kutoa ajira 7,655

MWEKEZAJI Jack Feng kutoka China anatarajia kuwekeza dola za Marekani zaidi ya milioni 311 (takribaniSh  bil 725) katika mradi wa…
AFRECO kushirikiana na UDOM kuongeza wataalamu tiba, vifaatiba

AFRECO kushirikiana na UDOM kuongeza wataalamu tiba, vifaatiba

KAMPUNI ya Kijapan, Association of African Economic Development (AFRECO) imeonesha nia ya kujenga chuo cha uhandisi wa tiba (school of…
Tanzanite City mbioni kujengwa Mirerani

Tanzanite City mbioni kujengwa Mirerani

SERIKALI iko katika mpango wa kujenga Kituo cha Tanzanite City, kitakachojengwa Mji wa Mirerani, wilayani Simanjiro, mkoani Manyara,  lengo ikiwa…
TRA Katavi wasikia kilio Kata ya Majimoto

TRA Katavi wasikia kilio Kata ya Majimoto

MAMLAKA ya Mapato nchini (TRA) Mkoa wa Katavi, imezindua ofisi ya kituo cha  huduma Majimoto katika Halmashauri ya Wilaya ya…
PIC yabaini matumizi makubwa ulipaji gharama huduma NHIF

PIC yabaini matumizi makubwa ulipaji gharama huduma NHIF

KAMATI ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC) imebaini  matumizi makubwa ya kulipa gharama za huduma za wanachama…
Iran yasifu fursa za uwekezaji Tanzania

Iran yasifu fursa za uwekezaji Tanzania

SERIKALI imewahakikishia wafanyabiashara na wawekezaji wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mazingira salama ya biashara na uwekezaji. Naibu Waziri wa…
NSSF yajitosa mchango wa diaspora kukuza uchumi

NSSF yajitosa mchango wa diaspora kukuza uchumi

MFUKO wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeunga mkono mchango mkubwa unaotolewa na Watanzania Wanaoishi Nje ya Nchi (Diaspora),…
Kampeni kudhibiti vibebeo vya plastiki wiki ijayo

Kampeni kudhibiti vibebeo vya plastiki wiki ijayo

SERIKALI imepanga kuanza kampeni kabambe ya kitaifa ya kupambana na matumizi ya vifungashio kuwa vibebeo iliyolenga kuanza Jumatatu ijayo nchini…
Serikali yatenga bil 12/- Tazara kuongeza ufanisi

Serikali yatenga bil 12/- Tazara kuongeza ufanisi

SERIKALI imesema kwa mwaka wa fedha 2022/2023 imetenga zaidi ya Sh bilioni 12 kwa ajili ya Mamlaka ya Reli ya…
Back to top button