Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
Waliotelekeza vibanda vyao SIMU 2000 warejea
October 11, 2023
Waliotelekeza vibanda vyao SIMU 2000 warejea
DSM: WAFANYABIASHARA waliotelekeza vibanda vyao katika Soko la Simu 2000 mkoani Dar es Salaam, wameanza kurudi kutokana na maboresho yaliyofanyika.…
Sh bilioni 1 kuboresha soko Manzese
October 9, 2023
Sh bilioni 1 kuboresha soko Manzese
KIASI cha Sh bilioni 1.3 zimetengwa na Manispaa ya Ubungo mkoani Dar es Salaam, kwa ajili ya utekelezaji wa mradi…
Ujenzi Soko la Kariakoo tayari kumenoga
October 8, 2023
Ujenzi Soko la Kariakoo tayari kumenoga
DSM; UJENZI wa Soko la Kariakoo lililopo mkoani Dar es Salaam umefikia asiliamia 91, ambapo kiasi cha fedha kilichotumika ni…
Wafanyabiashara Kagera wafundwa ulipaji kodi
October 7, 2023
Wafanyabiashara Kagera wafundwa ulipaji kodi
MKUU wa Mkoa wa Kagera, Fatma Mwassa amewataka wafanyabiashara kuwajibika kulipa kodi kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ili kufanya…
TADB yampa nguvu mwekezaji Karagwe
October 6, 2023
TADB yampa nguvu mwekezaji Karagwe
KAGERA; Karagwe. BENKI ya maendeleo ya Kilimo nchini (TADB), imetoa kiasi cha Sh bilioni 1.7 kwa ajili ya kununua ng’ombe…
Tunduma kukusanya Sh milioni 80 maegesho ya magari
October 6, 2023
Tunduma kukusanya Sh milioni 80 maegesho ya magari
SONGWE; HALMASHAURI ya Mji Tunduma inategemea kukusanya kiasi cha Sh Millioni 80 mwaka wa fedha 2023/24 kupitia chanzo cha mapato…
Washauri mwongozo mazingira mazuri ya biashara
October 5, 2023
Washauri mwongozo mazingira mazuri ya biashara
SERIKALI imeshauriwa kupeleka bungeni muongozo wa kuweka mazingira mazuri ya biashara nchini blueprint Ili kuwa ni wa kisheria na kuweza…
Korosho kusafirishwa Bandari ya Mtwara
October 4, 2023
Korosho kusafirishwa Bandari ya Mtwara
WAKUU wa mikoa ya Mtwara, Ruvuma na Lindi wamekubaliana kusafirisha korosho ghafi kwa kutumia Bandari ya Mtwara kwenye msimu wa…
Mtanzania anayemiliki kiwanda Thailand
October 3, 2023
Mtanzania anayemiliki kiwanda Thailand
BANGKOK, Thailand: WAKATI wa ziara ya Ujumbe wa Tanzania nchini Thailand, mbali na kutembelea shughuli za madini, ulipata wasaa wa…
Bashungwa ambana mkandarasi, atoa siku 14
October 2, 2023
Bashungwa ambana mkandarasi, atoa siku 14
MBEYA: Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ametoa siku 14 kwa Wakala wa Barabara (TANROADS), Bodi ya Usajili wa Makandarasi (CRB)…