Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
Bodi kuleta bei shindani ya mazao
February 15, 2024
Bodi kuleta bei shindani ya mazao
BODI ya Usimamizi wa Stakabadhi Ghalani nchini imeeleza mfumo wa stakabadhi hauna lengo la kupandisha bei wala kupunguza katika ununuzi…
Uchumi wadorora Uingereza
February 15, 2024
Uchumi wadorora Uingereza
UCHUMI wa Uingereza umeingia rasmi katika mdororo, takwimu zinaonesha. Mdororo wa uchumi unafafanuliwa kama vipindi viwili vya miezi mitatu mfululizo…
Japan kutoa somo ubunifu, ujasiriamali
February 14, 2024
Japan kutoa somo ubunifu, ujasiriamali
BALOZI wa Japan nchini Tanzania, Yasushi Misawa amesema nchi hiyo itaendelea kushirikiana na Tanzania katika kukuza bunifu na ujasiriamali kwa…
RC Arusha ataka uwekezaji zaidi huduma ya vyakula
February 13, 2024
RC Arusha ataka uwekezaji zaidi huduma ya vyakula
MKUU wa Mkoa wa Arusha, John Mongela ametaka uwekezaji zaidi jijini jijini Arusha hasa katika masuala yanayohusu vyakula, ili kuongeza…
Maboresho ya masoko Ubungo kuongeza mapato
February 12, 2024
Maboresho ya masoko Ubungo kuongeza mapato
WILAYA ya Ubungo mkoani Dar es Salaam, imetakiwa kuangalia namna ya kuyaboresha masoko yake ili wananchi wapate eneo zuri la…
Serikali yaunga mkono ushirikiano Airtel, ZCTV
February 7, 2024
Serikali yaunga mkono ushirikiano Airtel, ZCTV
KAMPUNI ya mtandao wa simu ya Airtel Tanzania imeingia katika ushirikiano wa kimkakati na Zanzibar Cable Television (ZCTV), ili kuwarahisishia…
Mfumo TAUSI kuongeza uaminifu ukusanyaji kodi
February 7, 2024
Mfumo TAUSI kuongeza uaminifu ukusanyaji kodi
MAMLAKA za Serikali za Mitaa zimeagizwa kutumia zaidi mfumo wa Ukusanyaji Mapato ( TAUSI ) ili kuhakikisha wananchi wanalipa kodi…
Mikakati kuongeza soko la samaki
February 6, 2024
Mikakati kuongeza soko la samaki
DODOMA: Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Riziki Shemdoe amesema wizara yake itaendelea kushirikiana na Ofisi ya Rais…
Tanzania, AfDB zaungana kutekeleza miradi ya nishati
February 5, 2024
Tanzania, AfDB zaungana kutekeleza miradi ya nishati
DODOMA: NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) imeonesha nia…
Sh Bilioni 1.6 yawekezwa mikopo ya nyumba
February 5, 2024
Sh Bilioni 1.6 yawekezwa mikopo ya nyumba
DAR ES SALAAM: BENKI ya Absa imeingiza hisa za Sh bilioni 1.6 kwa Taasisi ya mikopo ya nyumba ya Mortgage…