Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

TIC yasajili miradi 526 mwaka mmoja

TIC yasajili miradi 526 mwaka mmoja

KITUO cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimesajili jumla ya miradi 526 yenye thamani ya takribani Dola bilioni 5.7 kwa kipindi cha mwezi…
Wapigapicha chipukizi, wabobezi, jukwaa moja

Wapigapicha chipukizi, wabobezi, jukwaa moja

DAR ES SALAAM: Wapiga picha 12 wa Tanzania, wanaofanya shughuli zao mtaani, wameteuliwa kushiriki maonesho ya picha ya Dar Foto…
Magala ya mbolea yafungiwa

Magala ya mbolea yafungiwa

DAR ES SALAAM :MAMLAKA ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) imeyafungia maghala mawili ya Mbolea ya Kampuni ya YARA yaliyopo…
Wafurahishwa na kilimo kinachohimili mabadiliko tabia nchi

Wafurahishwa na kilimo kinachohimili mabadiliko tabia nchi

WAKULIMA wa zao la mpunga wamefurahishwa na kilimo shadidi chenye kuhimili athari za mabadiliko ya tabia nchi ambacho kinapunguza gharama…
“Wanachama AfCFTA watumie fursa kibiashara”

“Wanachama AfCFTA watumie fursa kibiashara”

WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dk Ashatu Kijaji na Mwenyekiti wa Mkutano wa 13 wa Mawaziri wa Biashara Mkataba wa…
Mambo safi Bandari Dar es Salaam

Mambo safi Bandari Dar es Salaam

SHUGHULI za kiuendeshaji katika Bandari ya Dar es Salaam zinaendelea vyema huku gati zote ndani ya bandari hiyo zikiendelea na…
Usumbufu mikopo kausha damu kupatiwa ufumbuzi

Usumbufu mikopo kausha damu kupatiwa ufumbuzi

WAZIRI wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameondoa usumbufu ambao wananchi wamekuwa wakiupata kutokana na mikopo ya…
Tarura yatakiwa kufikia 85% ya barabara za lami

Tarura yatakiwa kufikia 85% ya barabara za lami

WAKALA wa Barabara Vijijini na Mijini wametakiwa kusaka vyanzo vipya vya fedha kwa ajili ya miradi ya barabara za lami…
SADC yathibitisha maabara 4 TBS

SADC yathibitisha maabara 4 TBS

TAASISI ya Ithibati ya Jumuiya ya nchi za Kusini mwa Afrika (SADCAS) imethibitisha na kuzipatia vyeti vya umahiri maabara nane…
Sh tril. 11 kutekeleza miradi Kigoma

Sh tril. 11 kutekeleza miradi Kigoma

KIGOMA: SERIKALI imepeleka sh trilioni 11.4 mkoani Kigoma tangu serikali ya awamu ya sita ya Rais  Samia Suluhu Hassan iingie madarakani.…
Back to top button