Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Kuadimika kwa sukari, 26 mbaroni

Kuadimika kwa sukari, 26 mbaroni

BODI ya Sukari imewakamata wafanyabiashara 26 katika mikoa ya Tabora na Arusha kutokana na kupandisha bei ya sukari kiholela. Bodi…
Stamico yatakiwa kujikita kwenye umeme

Stamico yatakiwa kujikita kwenye umeme

WAZIRI wa Madini,Anthony Mavunde amelitaka Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kujikita katika kusaidia upatikanaji wa umeme wa uhakika kupitia…
Bashe ataja sababu upungufu wa sukari,tani100,000 zaagizwa

Bashe ataja sababu upungufu wa sukari,tani100,000 zaagizwa

WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe amesema hali uzalishaji wa sukari katika viwanda saba nchini imeshuka hadi kufikia tani 1,000 kwa…
Wadakwa kwa pesa bandia

Wadakwa kwa pesa bandia

JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani limewakamata watu wanne wakiwa na noti za bandia zenye thamani ya sh milioni 1.5…
TIC: Changamkieni fursa za uwekezaji

TIC: Changamkieni fursa za uwekezaji

ARUSHA;  Kituo cha Uwekezaji Tanzania(TIC) kimewataka wawekezaji wazawa pamoja na wageni kuchangamkia fursa za uwekezaji zitakazowezesha vijana kupata ajira. Hayo…
Matunda maboresho ya bandari yaanza kuvunwa

Matunda maboresho ya bandari yaanza kuvunwa

DAR ES SALAAM:MABORESHO ya bandari yaliyofanywa na Serikali nchini yamefanikisha kutua kwa meli kubwa ya utalii ya Norwegian Dawn yenye…
Wazee Arusha watakiwa kuichunga mashine ya kusaga

Wazee Arusha watakiwa kuichunga mashine ya kusaga

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Arusha, Willfred Ole Soileli amewaomba wazee wa kata ya Moshono ndani ya…
Mzee Kajuna aangua kilio mbele ya Waziri Silaa

Mzee Kajuna aangua kilio mbele ya Waziri Silaa

ARUSHA: Mzee Laxford Kajuna mkazi wa Njiro jijini Arusha amejikuta akitokwa na machozi mara baada ya Waziri wa Ardhi, Nyumba…
Shughuli za uvuvi kusitishwa Ziwa Tanganyika

Shughuli za uvuvi kusitishwa Ziwa Tanganyika

KATAVI: Wavuvi wilayani Tanganyika Mkoa wa Katavi wamekubali mpango wa serikali wa kuhuisha uvuvi ndani ya miezi mitatu katika Ziwa…
TARI Ukiriguru watakiwa kufanya tafiti zenye uhalisia

TARI Ukiriguru watakiwa kufanya tafiti zenye uhalisia

MWANZA: Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) Kituo cha Ukiriguru mkoani Mwanza imetakiwa kufanya utafiti unaoendana na hali halisi…
Back to top button