Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
Benki yazindua huduma maalum kwa wastaafu
May 3, 2024
Benki yazindua huduma maalum kwa wastaafu
Dar es Salaam: Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua huduma maalum kwa ajili ya wastaafu inayofahamika kama “Akaunti ya…
Vijana watakiwa kuomba mikopo ya pikipiki
May 1, 2024
Vijana watakiwa kuomba mikopo ya pikipiki
DAR ES SALAAM. VIJANA wametakiwa kujitokeza kuomba mikopo ya vyombo vya usafiri, ili kujikwamua kiuchumi. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa…
TCCIA yasuka mikakati mipya biashara mikoani
April 30, 2024
TCCIA yasuka mikakati mipya biashara mikoani
DAR ES SALAAM; Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA),Oscar Kisanga, amesema atasuka mikakati mipya…
‘Soko Tanzania lisiwe la bidhaa duni’
April 30, 2024
‘Soko Tanzania lisiwe la bidhaa duni’
DAR ES SALAAM; WAFANYABIASHARA nchini wametakiwa wasitumie soko la Tanzania kuingiza bidhaa zenye viwango duni, badala yake wasimamie ubora na…
Wafanyabiashara Katavi wafundwa suala la kodi
April 30, 2024
Wafanyabiashara Katavi wafundwa suala la kodi
KATAVI; Asilimia 55 ya wafanyabiashara 12,000 waliosajiliwa mkoani Katavi wamebainika kushindwa kutoa risiti za kielektroniki wafanyapo mauzo, hali inayoelezwa IMEsababishwa…
Bajaji za umeme nchini kushuka bei
April 29, 2024
Bajaji za umeme nchini kushuka bei
DAR ES SALAAM: KITUO cha Uwekezaji nchini (TIC) kimesaini mikataba miwili ya makubaliano ya uwekezaji baina ya Kampuni ya Mass…
Serikali yakusanya mabilioni TAEC
April 29, 2024
Serikali yakusanya mabilioni TAEC
DAR ES SALAAM: MAKUSANYO ya maduhuli ya Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) yameongezeka kutoka Sh bilioni 8.7 mwaka…
Jokate azindua kiwanda cha nafaka Mtwara
April 29, 2024
Jokate azindua kiwanda cha nafaka Mtwara
MTWARA: KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Jokate Mwegelo (MNEC) amezindua kiwanda cha…
Mambo yazidi kunoga Bandari Mtwara
April 28, 2024
Mambo yazidi kunoga Bandari Mtwara
MTWARA; MAMALAKA ya Usimamizi Bandari (TPA) mkoani Mtwara imepokea kifaa maalum kwa ajili ya kusaidia meli kuegesha na kuondoka kwenye…
NBC yatwaa tuzo mwezeshaji bora mikopo Serikali Kuu
April 28, 2024
NBC yatwaa tuzo mwezeshaji bora mikopo Serikali Kuu
ZANZIBAR: BENKI ya NBC imepata tuzo ya Mwezeshaji Bora wa Pamoja wa Mikopo ya Serikali Kuu nchini katika Afrika kwa mwaka…