Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
Kuadimika kwa sukari, 26 mbaroni
January 23, 2024
Kuadimika kwa sukari, 26 mbaroni
BODI ya Sukari imewakamata wafanyabiashara 26 katika mikoa ya Tabora na Arusha kutokana na kupandisha bei ya sukari kiholela. Bodi…
Stamico yatakiwa kujikita kwenye umeme
January 23, 2024
Stamico yatakiwa kujikita kwenye umeme
WAZIRI wa Madini,Anthony Mavunde amelitaka Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kujikita katika kusaidia upatikanaji wa umeme wa uhakika kupitia…
Bashe ataja sababu upungufu wa sukari,tani100,000 zaagizwa
January 20, 2024
Bashe ataja sababu upungufu wa sukari,tani100,000 zaagizwa
WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe amesema hali uzalishaji wa sukari katika viwanda saba nchini imeshuka hadi kufikia tani 1,000 kwa…
Wadakwa kwa pesa bandia
January 18, 2024
Wadakwa kwa pesa bandia
JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani limewakamata watu wanne wakiwa na noti za bandia zenye thamani ya sh milioni 1.5…
TIC: Changamkieni fursa za uwekezaji
January 17, 2024
TIC: Changamkieni fursa za uwekezaji
ARUSHA; Kituo cha Uwekezaji Tanzania(TIC) kimewataka wawekezaji wazawa pamoja na wageni kuchangamkia fursa za uwekezaji zitakazowezesha vijana kupata ajira. Hayo…
Matunda maboresho ya bandari yaanza kuvunwa
January 16, 2024
Matunda maboresho ya bandari yaanza kuvunwa
DAR ES SALAAM:MABORESHO ya bandari yaliyofanywa na Serikali nchini yamefanikisha kutua kwa meli kubwa ya utalii ya Norwegian Dawn yenye…
Wazee Arusha watakiwa kuichunga mashine ya kusaga
January 14, 2024
Wazee Arusha watakiwa kuichunga mashine ya kusaga
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Arusha, Willfred Ole Soileli amewaomba wazee wa kata ya Moshono ndani ya…
Mzee Kajuna aangua kilio mbele ya Waziri Silaa
January 12, 2024
Mzee Kajuna aangua kilio mbele ya Waziri Silaa
ARUSHA: Mzee Laxford Kajuna mkazi wa Njiro jijini Arusha amejikuta akitokwa na machozi mara baada ya Waziri wa Ardhi, Nyumba…
Shughuli za uvuvi kusitishwa Ziwa Tanganyika
January 11, 2024
Shughuli za uvuvi kusitishwa Ziwa Tanganyika
KATAVI: Wavuvi wilayani Tanganyika Mkoa wa Katavi wamekubali mpango wa serikali wa kuhuisha uvuvi ndani ya miezi mitatu katika Ziwa…
TARI Ukiriguru watakiwa kufanya tafiti zenye uhalisia
January 11, 2024
TARI Ukiriguru watakiwa kufanya tafiti zenye uhalisia
MWANZA: Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) Kituo cha Ukiriguru mkoani Mwanza imetakiwa kufanya utafiti unaoendana na hali halisi…