Madini

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Tani 2 madini ya uranium asilia zapotea Libya

JUHUDI zinaendelea kutafuta zaidi ya tani 2 za madini ya uranium asilia yaliyoripotiwa kupotea kwenye hazina ya madini hayo huko…

Soma Zaidi »

Dk Kiruswa azindua mfumo ushirikishwaji jamii

NAIBU Waziri wa Madini, Dk Steven Kiruswa amezindua  mfumo wa ushirikishwaji wa Watanzania katika sekta ya madini na wa utoaji…

Soma Zaidi »

Helium One kuanza kuchimba visima zaidi 2023

KAMPUNI ya Helium One Global Tanzania imepanga kuanza kuchimba visima zaidi nchini Tanzania katika robo ya kwanza ya mwaka ujao…

Soma Zaidi »

Vifo vitokanavyo na ajali migodini vyapungua

IDADI ya vifo vitokanavyo na ajali katika maeneo ya migodi vimepungua kwa kiasi kikubwa kutoka 106  ilivy ripotiwa mwaka 2018…

Soma Zaidi »

Wasioendeleza machimbo Makaa ya Mawe kufutiwa vibali

WAZIRI wa Madini Dkt Dotto Biteko ametoa miezi mitatu kwa Tume ya Madini kufanya uchambuzi wa kina na kubaini waliohodhi…

Soma Zaidi »

Kiruswa: biashara ya makaa ya mawe ni utajiri

Naibu Waziri wa Madini, Dk. Steven Kiruswa amebainisha kuwa, biashara ya Makaa ya Mawe inatarajia kuleta tija kwa Watanzania kutokana…

Soma Zaidi »

Samia amfagilia Waziri Biteko

RAIS Samia Suluhu Hassan, ameeleza kuridhishwa na utendaji kazi wa Waziri wa Madini, Dk Doto Biteko. Rais Samia amempongeza Dk…

Soma Zaidi »

Serikali kutovumilia wanaokwamisha mgodi nickel

MKUU wa Wilaya ya Ngara, Mathias Kahabi amesema mtu atakayejaribu kuhujumu mradi wa uchimbaji madini wa Tembo Nickel, atakuwa anaihujumu…

Soma Zaidi »

Tanzanite City mbioni kujengwa Mirerani

SERIKALI iko katika mpango wa kujenga Kituo cha Tanzanite City, kitakachojengwa Mji wa Mirerani, wilayani Simanjiro, mkoani Manyara,  lengo ikiwa…

Soma Zaidi »

Kawishe apata bil2.2/- baada ya kuuza Tanzanite

MCHIMBAJI mdogo wa madini ya Tanzanite Anslemu Kawishe amepata Sh bilioni 2.2 baada ya kuuza vipande viwili vya Tanzanite kwenye…

Soma Zaidi »
Back to top button