Madini

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Wizara ya Madini waja kisasa zaidi

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde amesema wizara hiyo imejipanga kutumia njia za kisasa za kupata taarifa za…

Soma Zaidi »

Mapato ya halmashauri, Migodi kizungumkuti

GEITA: MKUU wa Wilaya ya Mbogwe Sakina Mohamed amebaini uwepo wa tofauti kubwa ya taarifa ya mapato yaliyoko kwenye vitabu…

Soma Zaidi »

Mavunde aitaka GGM kuimarisha mahusiano na jamii

GEITA: WAZIRI wa Madini Anthony Mavunde ameitaka Kampuni ya Geita Gold Mine(GGM) kuimarisha mahusiano na jamii inayozunguka mgodi ili wananchi…

Soma Zaidi »

Mavunde amaliza mgogoro wa wachimbaji wadogo Chamwino

DODOMA: WAZIRI Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amemaliza mgogoro wa wachimbaji wadogo wa madini uliodumu kwa mwaka mmoja katika Kitongoji…

Soma Zaidi »

Nishati isiyochafua mazingira kuipaisha Tanzania

DSM; TANZANIA imetajwa kuwa na nafasi kubwa ya kuwa mzalishaji wa wa nishati safi isiyochafua mazingira kupitia madini ya graphite,…

Soma Zaidi »

Mavunde: GST imeiheshimisha sekta ya Madini

DAR ES SALAAM: TAASISI ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) imeiwezesha sekta ya madini kupiga hatua kiuchumi ikiwemo…

Soma Zaidi »

Serikali kumaliza kero ya umeme migodini

GEITA: Serikali imeanza kutekeleza mradi maalum wa kupeleka umeme maeneo ya wachimbaji wadogo ili kuwapunguzia gharama za uzalishaji na kuchagiza…

Soma Zaidi »

Shigela awafariji wachimbaji wadogo

GEITA: MKUU wa Mkoa wa Geita, Martin Shigella ametembelea mgodi wa Kanegere uliopo wilayani Mbogwe na kuwafariji  wachimbaji wadogo baada…

Soma Zaidi »

Wawili wafariki, 28 wakinusurika Mgodini

GEITA: Watu  wawili wamefariki dunia huku wengine 28 wakinusurika baada ya watu 30 waliovamia eneo la mgodi uliozuiliwa kijiji cha…

Soma Zaidi »

Majaliwa akaribisha wawekezaji sekta ya madini

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Kassim Majaliwa amekutana na ujumbe kutoka Korea Kusini uliojumuisha viongozi wa makampuni…

Soma Zaidi »
Back to top button