Sayansi & Teknolojia

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

UDSM wajivunia kutoa vijana wanaoweza kujiajiri

CHUO Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), kupitia Ndaki ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano ( CoICT), kimesema mbinu na…

Soma Zaidi »

Tanzania yang’ara Tehama Afrika

TANZANIA ni miongoni mwa nchi 10 bora barani Afrika zinazofanywa vizuri katika suala la Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)…

Soma Zaidi »

‘Tumieni ujuzi mliopata wanafunzi wapende fizikia’

WALIMU 26 wa sekondari wa somo la fizikia kutoka shule 13 za serikali jijini Dar es Salaam, wametakiwa kutumia ujuzi,…

Soma Zaidi »

Makambako watakiwa kutumia mawasiliano kunufaika

WANANCHI wa Mji wa Makambako wilayani Njombe mkoani Njombe, wameshauriwa kutumia huduma za mawasiliano kujiimarisha kiuchumi ndani na nje ya…

Soma Zaidi »

Samia ataka uwekezaji wa sayansi, teknolojia

RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Afrika wakiwekeza zaidi katika sayansi na teknolojia kwa vijana, wanaweza kuwa sehemu muhimu…

Soma Zaidi »

Vijana waja kivingine changamoto ya ajira

VIJANA kutoka vyuo vinne nchini, wamesema suala la ajira halitakuwa changamoto kwao, baada ya kupata mafunzo yatakayowawezesha kuanzisha biashara, kuendeleza…

Soma Zaidi »

Tanzania yajipanga kuwa kitovu mawasiliano

TANZANIA itakuwa kitovu cha maunganisho ya mawasiliano Afrika Mashariki na Kati kutokana na kuwapo kwa mkongo wa mawasiliano wa pili…

Soma Zaidi »

Dk Yonazi: Tanzania itakuwa kitovu cha mawasiliano

TANZANIA itakuwa kitovu cha muunganisho wa mawasiliano Afrika Mashariki na Kati, kufuatia uwepo wa mkongo wa mawasiliano wa  2 Afrika…

Soma Zaidi »

Vodacom Tanzania yazindua huduma za 5G

KAMPUNI ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania imezindua huduma za 5G ikitaja kuwa ni mapinduzi ya kwanza kufanyika nchini na yatasaidia…

Soma Zaidi »

WFP yakabidhi vifaa vya mawasiliano OWM

SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limekabidhi vifaa vya mawasiliano katika Ofisi ya Waziri Mkuu…

Soma Zaidi »
Back to top button