Maisha ya Vijijini

RC ataka Dodoma iwike kwa utalii

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amesema wakazi wa Dodoma wanatakiwa kutangaza vivutio vya utalii vilivyopo kama inavyofanya Dubai…

Soma Zaidi »

Mkakati wasaidia kupunguza athari za maafa

MKAKATI wa nchi wa kupunguza athari za maafa (2020-2025) na uwezo wa jamii katika kupunguza na kukabili maafa, umechangia kwa…

Soma Zaidi »

Serikali, wadau kushirikiana kuboresha malezi

KATIBU Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Dk Zainab Chaula ametoa wito kwa wadau kuendelea…

Soma Zaidi »

Mwenge watembelea miradi miwili kwa malengo maalumu

MWENGE wa Uhuru umeweka mawe ya msingi katika miradi miwili ya maendeleo na kuzindua mradi mmoja na kutembelea miradi miwili…

Soma Zaidi »

Ahimiza wananchi kuendelea na sensa

MKUU wa Mkoa wa Mtwara, Ahmed Abbas amehimiza wananchi mkoani humo wahesabiwe kwa kuwa kazi hiyo inaendelea. Abbas alisema jumatano…

Soma Zaidi »

Mpango aagiza mifuko ya plastiki kukamatwa

MAKAMU wa Rais, Dk Philip Mpango ameagiza kuanzwa kwa operesheni ya kukamata na kuzuia mifuko ya plastiki nchini, inayochangia kurudisha…

Soma Zaidi »

Shigella: Nitafuatilia kila senti fedha za miradi

MKUU wa Mkoa wa Geita, Martin Shigella amesema ofisi yake imejipanga kufuatilia, kupitia na kuweka mikakati thabiti ya usimamizi na…

Soma Zaidi »

Tanga Uwasa, EACOP kuboresha upatikanaji maji Muheza, Tanga

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Tanga imeingia mkataba na  kampuni  inayosimamia ujenzi wa Bomba la mafuta (EACOP) wenye…

Soma Zaidi »

SMS ya kujifanya bosi wa usalama yamtupa jela

MAHAKAMA ya Wilaya ya Mlele mkoani Katavi imemhukumu mkazi wa Kijiji cha Kamguluki mkoani Mara kifungo cha miaka mitatu jela…

Soma Zaidi »

Aliyebaka na kumuua binti kufia gerezani

MAHAKAMA ya Rufaa imetupa rufani iliyowasilishwa na mkazi wa Mkoa wa Mara, Matiko Chandruku ya kupinga kutiwa hatiani na kuhukumiwa kifo…

Soma Zaidi »
Back to top button