Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
Abuni mashine kuchakata mafuta ya parachichi
August 5, 2023
Abuni mashine kuchakata mafuta ya parachichi
MASHINE rahisi isiyotumia umeme imebuniwa kwa lengo la kuchakata mafuta ya parachichi. Mbunifu na Mtafiti kutoka Shirika la Utafiti na…
TRA: Vitenge vya nje vimepunguziwa kodi
August 5, 2023
TRA: Vitenge vya nje vimepunguziwa kodi
VITENGE vinavyoagizwa nje ya nchi vimepunguzwa kodi na Mamlaka ya Mapato Tanzania ( TRA), hivyo kutoa unafuu kwa wafanyabiashara. Mkurugenzi…
Machinga Iringa watangaza kurudi maeneo yasio rasmi
August 3, 2023
Machinga Iringa watangaza kurudi maeneo yasio rasmi
MACHINGA wanaofanya biashara katika soko la Machinga la Mlandege mjini Iringa, leo wametangaza kurejea katikati ya mji katika maeneo yasio…
TPDC kuongeza tija uzalishaji gesi
August 2, 2023
TPDC kuongeza tija uzalishaji gesi
SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Nchini (TPDC), limeanza kukarabati kisima namba moja cha kuzalisha gesi asilia Mnazi Bay, mkoani Mtwara, …
Kampuni yaweka mikakati uwekezaji
July 31, 2023
Kampuni yaweka mikakati uwekezaji
Kampuni ya uwekezaji wa pamoja UTT AMIS imesema inaendelea kuboresha huduma zake ili kuwafikia wateja wengi zaidi na kuwa daraja…
Kuboreshwa Bandari Kigoma kutachochea biashara
July 29, 2023
Kuboreshwa Bandari Kigoma kutachochea biashara
WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa, amesema kuwa ujenzi wa gati la kuegeshea boti kubwa katika bandari ya…
MKUTANO WA TGS: Ajenda ya uchumi wa buluu yamkosha Katibu Mkuu Kiongozi
July 29, 2023
MKUTANO WA TGS: Ajenda ya uchumi wa buluu yamkosha Katibu Mkuu Kiongozi
ZANZIBAR KATIBU Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) Mhandisi Zena Ahmed Said ameipongeza Jumuiya ya Wajiolojia nchini (TGS)…
Nape ataka posta wawe wabunifu kujitangaza
July 28, 2023
Nape ataka posta wawe wabunifu kujitangaza
WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, ameliagiza Shirika la Posta Tanzania (POSTA) kuwa wabunifu katika kutangaza…
Mashirika yatakayofutwa hadharani mwezi ujao
July 28, 2023
Mashirika yatakayofutwa hadharani mwezi ujao
MSAJILI wa Hazina, Nehemia Mchechu amesema mwezi ujao wanatarajia kutangaza mashirika na kampuni zitakazofutwa, kuunganishwa na zitakazopewa muda wa kurekebisha…
Ndege ya mizigo ATCL kusafirisha chanjo DRC
July 28, 2023
Ndege ya mizigo ATCL kusafirisha chanjo DRC
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF limeamua kutumia ndege mpya ya kisasa ya mizigo Boeing 767-300 inayomilikiwa…