Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Masoko ya nyama nje yaongezeka

Masoko ya nyama nje yaongezeka

BODI ya Nyama Tanzania (TMB), imesema masoko ya nyama nje ya nchi yameendelea kuongezeka  kwa kasi huku ikitarajiwa China kuwemo.…
Sh Bil 1.1  zanogesha ukarabati Mv Tanga

Sh Bil 1.1  zanogesha ukarabati Mv Tanga

Zaidi ya Sh bil 1.1 zimetumika kufanya ukarabati wa kivuko cha Mv Tanga, ambacho kinatoa huduma ya usafiri eneo la…
Serikali yataka muafaka wa GGML juu ya maeneo jirani

Serikali yataka muafaka wa GGML juu ya maeneo jirani

SERIKALI kupitia Wizara ya Madini imeuagiza Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGML) kuandaa na kuwasilisha mpango kazi utakaotatua malalamiko ya…
Machinjio ya Sh bilioni 29 yazinduliwa Mvomero

Machinjio ya Sh bilioni 29 yazinduliwa Mvomero

MACHINJIO ya kisasa ya Nguru Hills Ranch Ltd imezinduliwa rasmi mjini Mvomero ambapo inauwezo wa kuchinja ng’ombe 100 na mbuzi…
Kutokurejesha mikopo, udanganyifu vikwazo mikopo 10%

Kutokurejesha mikopo, udanganyifu vikwazo mikopo 10%

OFISI ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imepewa jukumu la kuhakikisha vikundi vya wanawake, vijana na…
Machinga sasa kutumia EFDs

Machinga sasa kutumia EFDs

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kodi Kariakoo, umeanza kusajili wamachinga wote wanaofanya biashara katika eneo la Kariakoo kutumia…
Serikali yataka andiko umri wa kustaafu wahadhiri

Serikali yataka andiko umri wa kustaafu wahadhiri

MAKAMU wa Rais, Dk Philip Mpango ameagiza jumuiya ya vyuo vikuu nchini kukaa pamoja kujadili umri wa kustaafu kwa wahadhiri…
Wamachinga 5, 273 Ka’koo wasajiliwa kulipa kodi

Wamachinga 5, 273 Ka’koo wasajiliwa kulipa kodi

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesajili wafanyabiashara wadogo ‘machinga’ 5,273 katika zoezi lililoanza Februari mwaka huu ili kuwaingiza katika mfumo…
TRA yaweka mkakati ukusanyaji kodi Kariakoo

TRA yaweka mkakati ukusanyaji kodi Kariakoo

MAMLAKA ya Mapato nchini (TRA), imeweka mkakati wa kuchochea wafanyabiashara kulipa kodi, ili kuongeza mapato ya serikali kwa kuweka mabango…
Ukarabati Uwanja Ndege Mtwara safi

Ukarabati Uwanja Ndege Mtwara safi

UKARABATI na upanuzi wa miundombinu ya kiwanja cha ndege mkoani Mtwara umefikia asilimia 96. Maneja wa kiwanja hicho, Samuel Mruma…
Back to top button