Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
Masoko ya nyama nje yaongezeka
December 16, 2022
Masoko ya nyama nje yaongezeka
BODI ya Nyama Tanzania (TMB), imesema masoko ya nyama nje ya nchi yameendelea kuongezeka kwa kasi huku ikitarajiwa China kuwemo.…
Sh Bil 1.1 zanogesha ukarabati Mv Tanga
December 14, 2022
Sh Bil 1.1 zanogesha ukarabati Mv Tanga
Zaidi ya Sh bil 1.1 zimetumika kufanya ukarabati wa kivuko cha Mv Tanga, ambacho kinatoa huduma ya usafiri eneo la…
Serikali yataka muafaka wa GGML juu ya maeneo jirani
December 13, 2022
Serikali yataka muafaka wa GGML juu ya maeneo jirani
SERIKALI kupitia Wizara ya Madini imeuagiza Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGML) kuandaa na kuwasilisha mpango kazi utakaotatua malalamiko ya…
Machinjio ya Sh bilioni 29 yazinduliwa Mvomero
December 13, 2022
Machinjio ya Sh bilioni 29 yazinduliwa Mvomero
MACHINJIO ya kisasa ya Nguru Hills Ranch Ltd imezinduliwa rasmi mjini Mvomero ambapo inauwezo wa kuchinja ng’ombe 100 na mbuzi…
Kutokurejesha mikopo, udanganyifu vikwazo mikopo 10%
December 13, 2022
Kutokurejesha mikopo, udanganyifu vikwazo mikopo 10%
OFISI ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imepewa jukumu la kuhakikisha vikundi vya wanawake, vijana na…
Machinga sasa kutumia EFDs
December 13, 2022
Machinga sasa kutumia EFDs
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kodi Kariakoo, umeanza kusajili wamachinga wote wanaofanya biashara katika eneo la Kariakoo kutumia…
Serikali yataka andiko umri wa kustaafu wahadhiri
December 13, 2022
Serikali yataka andiko umri wa kustaafu wahadhiri
MAKAMU wa Rais, Dk Philip Mpango ameagiza jumuiya ya vyuo vikuu nchini kukaa pamoja kujadili umri wa kustaafu kwa wahadhiri…
Wamachinga 5, 273 Ka’koo wasajiliwa kulipa kodi
December 12, 2022
Wamachinga 5, 273 Ka’koo wasajiliwa kulipa kodi
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesajili wafanyabiashara wadogo ‘machinga’ 5,273 katika zoezi lililoanza Februari mwaka huu ili kuwaingiza katika mfumo…
TRA yaweka mkakati ukusanyaji kodi Kariakoo
December 5, 2022
TRA yaweka mkakati ukusanyaji kodi Kariakoo
MAMLAKA ya Mapato nchini (TRA), imeweka mkakati wa kuchochea wafanyabiashara kulipa kodi, ili kuongeza mapato ya serikali kwa kuweka mabango…
Ukarabati Uwanja Ndege Mtwara safi
December 5, 2022
Ukarabati Uwanja Ndege Mtwara safi
UKARABATI na upanuzi wa miundombinu ya kiwanja cha ndege mkoani Mtwara umefikia asilimia 96. Maneja wa kiwanja hicho, Samuel Mruma…