Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Operesheni funga maduka yazua gumzo Bukoba, Machali acharuka

Operesheni funga maduka yazua gumzo Bukoba, Machali acharuka

MKUU wa Wilaya ya Bukoba, Mosses Machali ameelekeza maduka yote ya wafanyabiashara ambao hawana leseni za biashara yafungwe hadi hapo…
NFRA yasambaza mahindi kwenye halmashauri 46

NFRA yasambaza mahindi kwenye halmashauri 46

WAKALA ya Taifa ya Hifadhi ya Chakula (NFRA), umepeleka mahindi kwenye halmashauri 46 zenye uhitaji na unaendelea kupokea maombi ya…
Majaliwa aita mjadala eneo huru la biashara Afrika

Majaliwa aita mjadala eneo huru la biashara Afrika

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema makubaliano ya eneo huru la biashara Afrika yana lengo la kuleta mageuzi ya kiuchumi barani…
Majaliwa: Hakuna uwekezaji utakaokwama

Majaliwa: Hakuna uwekezaji utakaokwama

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema serikali ina dhamira ya dhati kuhakikisha wawekezaji wanapata faida na hakuna mwekezaji atakayekwama kwa namna…
Uingereza yafuta ushuru bidhaa za Tanzania

Uingereza yafuta ushuru bidhaa za Tanzania

SERIKALI ya Uingereza imefungua milango kwa bidhaa za Tanzania kulifikia soko la nchi hiyo bila kutozwa ushuru. Kaimu Katibu Mkuu…
Majaliwa: Uwekezaji nchini hautakwama

Majaliwa: Uwekezaji nchini hautakwama

WAZIRI  Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan itaendelea kuwaunga mkono wawekezaji…
TRA Katavi yakusanya zaidi ya bilioni 7/-

TRA Katavi yakusanya zaidi ya bilioni 7/-

Katika mwaka wa fedha 2021/22 Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Katavi imefanikiwa kukusanya shilingi bilioni 7.2 sawa na…
Serikali yataja mikakati kudhibiti bei za vyakula

Serikali yataja mikakati kudhibiti bei za vyakula

S ERIKALI imesema inachukua hatua za muda mfupi na muda mrefu kudhibiti kupanda bei ya bidhaa za chakula kama vile…
Ghana kununua mafuta kwa dhahabu

Ghana kununua mafuta kwa dhahabu

SERIKALI ya Ghana inafanyia kazi sera mpya ya kununua mafuta kwa dhahabu, badala ya akiba ya Dola za Marekani ili…
Majaliwa: Mradi wa SGR ukamilike kwa wakati

Majaliwa: Mradi wa SGR ukamilike kwa wakati

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na maendeleo ya mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) na kwamba Serikali…
Back to top button