Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Mfumo wa umilikishwaji fukwe kupitiwa upya

Mfumo wa umilikishwaji fukwe kupitiwa upya

NAIBU  Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja  amesema Wizara ya Maliasili na Utalii imependekeza kupitiwa upya kwa mfumo wa…
Jukwaa la Wakulima Afrika laipa 5 Tanzania

Jukwaa la Wakulima Afrika laipa 5 Tanzania

JUKWAA la Kikanda la Wakulima, Kusini mwa Afrika limempongeza serikali chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa ongezeko kubwa la…
NMB yatwaa tuzo 18 kitaifa, kimataifa

NMB yatwaa tuzo 18 kitaifa, kimataifa

BENKI ya NMB imetwaa jumla ya tuzo 18 za ubora za kitaifa na kimataifa. Jana benki hiyo ilitangaza tuzo 10…
TRC yaanza kupokea mabehewa ya SGR

TRC yaanza kupokea mabehewa ya SGR

SHIRIKA la Reli Tanzania (TRC) limeanza kupokea mabehewa yatakayotumika katika Reli ya Kisasa (SGR). Mabehewa 14 yaliyotengenezwa na kampuni ya…
BOT kushusha riba hadi 9%

BOT kushusha riba hadi 9%

BENKI Kuu Tanzania (BOT) inaendelea kuchukua hatua mbali mbali ili  kushusha riba hadi asilimia 9 . Hayo yamesema na Gavana…
Samia azindua mradi wa vihenge, maghala

Samia azindua mradi wa vihenge, maghala

RAIS Samia Suluhu Hassan amezindua mradi wa vihenge na maghala ya kuhifadhia nafaka mkoani Manyara yenye uwezo wa kuhifadhi tani…
Bei elekezi vifurushi vya simu Januari

Bei elekezi vifurushi vya simu Januari

SERIKALI imeagiza watoa huduma za mawasiliano ya simu za mkononi wasibadili bei ya vifurushi vya simu hadi serikali itapotoa bei…
Sekta ya utalii yathamini afya kupitia pato lake

Sekta ya utalii yathamini afya kupitia pato lake

Wizara ya Maliasili na Utalii imeeleza kuwa inathamini afya ya mama na mtoto kupitia mapato ya utalii yanayotokana na maeneo…
Dr Mpango aonya biashara ya ‘unga’, uvuvi haramu

Dr Mpango aonya biashara ya ‘unga’, uvuvi haramu

SERIKALI imeonya wanaojihusisha na uhalifu mkoani Tanga ikiwamo biashara haramu ya dawa za kulevya, biashara za magendo, uvuvi haramu, wahamiaji…
Barabara ya kulipia yaja, sekta binafsi TRC, Tazara

Barabara ya kulipia yaja, sekta binafsi TRC, Tazara

WIZARA ya Ujenzi na Uchukuzi imesema inajipanga kubadilisha sheria ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) na Shirika…
Back to top button