Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
Miico wajikita kutatua udumavu Momba
June 19, 2025
Miico wajikita kutatua udumavu Momba
SONGWE: KUTOKANA na Wilaya ya Momba iliyopo mkoani Songwe kuwa na kiwango kikubwa cha udumavu ambacho ni asilimia 31.9 licha…
Miundombinu ya usafiri kuimarishwa Ukanda wa Kati Afrika
June 19, 2025
Miundombinu ya usafiri kuimarishwa Ukanda wa Kati Afrika
DAR ES SALAAM. SERIKALI ya Tanzania imeahidi kuendelea kuwekeza kwa nguvu katika miundombinu ya usafiri kwa lengo la kukuza biashara…
Samia awaita wawekezaji viwanda kuchakata pamba nchini
June 19, 2025
Samia awaita wawekezaji viwanda kuchakata pamba nchini
RAIS Samia Suluhu Hassan amewaomba wawekezaji wa viwanda vya kuchakata pamba wahakikishe wanatumia pamba inayolimwa nchini ili kuwapa wakulima soko…
Bandari ya Dar kuimarisha usafirishaji wa mazao
June 18, 2025
Bandari ya Dar kuimarisha usafirishaji wa mazao
DODOMA — Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile, amesema kuwa Serikali imetenga eneo maalum kwa ajili ya kuboresha huduma za…
Bei ya ufuta yawa tumaini la wadau
June 17, 2025
Bei ya ufuta yawa tumaini la wadau
MSIMU kwanza wa mnada wa zao la biashara la ufuta kwa njia ya mfumo wa stakabadhi ghalani 2025/2026 umefunguliwa. Katika…
Malengo ya uchumi 2025/2026, mikakati kuongeza mapato
June 17, 2025
Malengo ya uchumi 2025/2026, mikakati kuongeza mapato
JUNI 12, 2025 Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba aliwasilisha Mapendekezo ya Serikali Kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa…
Wadaiwa wapewa siku 14 kurejesha mikopo
June 16, 2025
Wadaiwa wapewa siku 14 kurejesha mikopo
DAR ES SALAAM: KAMPUNI ya Tambaza Auction Mart na General Brokers Limited, kwa niaba ya Bodi ya Amana, imetoa siku…
Mifugo, uvuvi inachangia 6% pato la taifa – Dk Nchimbi
June 15, 2025
Mifugo, uvuvi inachangia 6% pato la taifa – Dk Nchimbi
SUMIYU: KATIBU wa Mkuu Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel Nchimbi amesema Wizara ya Mifugo na Uvuvi inachangia asilimia…
Timu za MKUMBI II, Maboresho ya Kodi zakutana
June 14, 2025
Timu za MKUMBI II, Maboresho ya Kodi zakutana
KATIBU Mkuu wa Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Dk Tausi Kida, amezikutanisha Timu za Wataalamu wa Kuandaa Mpango wa…