Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

‘Serikali imejizatiti matengenezo miundombinu ya umeme’

‘Serikali imejizatiti matengenezo miundombinu ya umeme’

SERIKALI imeongeza bajeti ya matengenezo ya miundombinu ya umeme kutoka Sh bilioni 197.61 kwa mwaka 2021/22 hadi Sh bilioni 211.56…
Tanzania, Qatar wajadili nafasi za ajira

Tanzania, Qatar wajadili nafasi za ajira

MAWAKALA wa ajira katika sekta binafsi nchini wamekutana na kujadili fursa za ajira na mawakala wenzao wa ajira binafsi wa…
Washauri jamii kugeukia kilimo ikolojia

Washauri jamii kugeukia kilimo ikolojia

WADAU wa kilimo ikolojia wameshauri jamii kuanza jitihada ya kukuza sekta hiyo ili kujenga mazingira endelevu yanayoweza kustahimili mabadiliko ya…
‘Walipeni fidia wanaopisha miradi Mchuchuma, Liganga’

‘Walipeni fidia wanaopisha miradi Mchuchuma, Liganga’

KAMATI ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira imeagiza serikali kulipa fidia ya wananchi waliopisha miradi ya chuma na makaa…
Benki yatakiwa kurahisisha mikopo kwa wafugaji, wavuvi

Benki yatakiwa kurahisisha mikopo kwa wafugaji, wavuvi

NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega ameitaka Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) irahisishe upatikanaji wa mikopo…
Bandari ya Karema kuanza kazi leo

Bandari ya Karema kuanza kazi leo

BANDARI ya Karema iliyopo Ziwa Tanganyika inaanza shughuli zake leo baada ya kukamilikwa kwa ujenzi wake uliosimamiwa na  Mamlaka ya…
Serikali yaongeza kasi madaraja kukuza uchumi   (Kimkakati)

Serikali yaongeza kasi madaraja kukuza uchumi   (Kimkakati)

SERIKALI imejizatiti kuendeleza na kukamilisha ujenzi wa madaraja nchini yakiwemo ya kimkakati katika mwaka huu wa fedha 2022/23. Ujenzi wa…
Basi lisilotoa tiketi mtandao faini 250,000/-

Basi lisilotoa tiketi mtandao faini 250,000/-

MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA) imesema kuanzia leo mabasi yote ya abiria ambayo hayatakuwa yamewapa abiria wake tiketi…
Serikali kutoa ufafanuzi tozo za miamala ya simu, benki

Serikali kutoa ufafanuzi tozo za miamala ya simu, benki

WIZARA ya Fedha imesema itatolea ufafanuzi kuhusu tozo ya miamala ya simu na benki hapo kesho Septemba Mosi ikiwa ni…
Bandari Bukoba wapewa wiki moja kubadilika

Bandari Bukoba wapewa wiki moja kubadilika

MKUU wa mkoa wa Kagera, Albert Chalamila ametoa muda wa wiki moja kwa maofisa wa vitengo vinavyosimamia bandari ya Bukoba…
Back to top button