Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
‘Serikali imejizatiti matengenezo miundombinu ya umeme’
September 1, 2022
‘Serikali imejizatiti matengenezo miundombinu ya umeme’
SERIKALI imeongeza bajeti ya matengenezo ya miundombinu ya umeme kutoka Sh bilioni 197.61 kwa mwaka 2021/22 hadi Sh bilioni 211.56…
Tanzania, Qatar wajadili nafasi za ajira
September 1, 2022
Tanzania, Qatar wajadili nafasi za ajira
MAWAKALA wa ajira katika sekta binafsi nchini wamekutana na kujadili fursa za ajira na mawakala wenzao wa ajira binafsi wa…
Washauri jamii kugeukia kilimo ikolojia
September 1, 2022
Washauri jamii kugeukia kilimo ikolojia
WADAU wa kilimo ikolojia wameshauri jamii kuanza jitihada ya kukuza sekta hiyo ili kujenga mazingira endelevu yanayoweza kustahimili mabadiliko ya…
‘Walipeni fidia wanaopisha miradi Mchuchuma, Liganga’
September 1, 2022
‘Walipeni fidia wanaopisha miradi Mchuchuma, Liganga’
KAMATI ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira imeagiza serikali kulipa fidia ya wananchi waliopisha miradi ya chuma na makaa…
Benki yatakiwa kurahisisha mikopo kwa wafugaji, wavuvi
September 1, 2022
Benki yatakiwa kurahisisha mikopo kwa wafugaji, wavuvi
NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega ameitaka Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) irahisishe upatikanaji wa mikopo…
Bandari ya Karema kuanza kazi leo
September 1, 2022
Bandari ya Karema kuanza kazi leo
BANDARI ya Karema iliyopo Ziwa Tanganyika inaanza shughuli zake leo baada ya kukamilikwa kwa ujenzi wake uliosimamiwa na Mamlaka ya…
Serikali yaongeza kasi madaraja kukuza uchumi (Kimkakati)
September 1, 2022
Serikali yaongeza kasi madaraja kukuza uchumi (Kimkakati)
SERIKALI imejizatiti kuendeleza na kukamilisha ujenzi wa madaraja nchini yakiwemo ya kimkakati katika mwaka huu wa fedha 2022/23. Ujenzi wa…
Basi lisilotoa tiketi mtandao faini 250,000/-
September 1, 2022
Basi lisilotoa tiketi mtandao faini 250,000/-
MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA) imesema kuanzia leo mabasi yote ya abiria ambayo hayatakuwa yamewapa abiria wake tiketi…
Serikali kutoa ufafanuzi tozo za miamala ya simu, benki
August 31, 2022
Serikali kutoa ufafanuzi tozo za miamala ya simu, benki
WIZARA ya Fedha imesema itatolea ufafanuzi kuhusu tozo ya miamala ya simu na benki hapo kesho Septemba Mosi ikiwa ni…
Bandari Bukoba wapewa wiki moja kubadilika
August 31, 2022
Bandari Bukoba wapewa wiki moja kubadilika
MKUU wa mkoa wa Kagera, Albert Chalamila ametoa muda wa wiki moja kwa maofisa wa vitengo vinavyosimamia bandari ya Bukoba…