Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
Usumbufu mikopo kausha damu kupatiwa ufumbuzi
January 26, 2024
Usumbufu mikopo kausha damu kupatiwa ufumbuzi
WAZIRI wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameondoa usumbufu ambao wananchi wamekuwa wakiupata kutokana na mikopo ya…
Tarura yatakiwa kufikia 85% ya barabara za lami
January 25, 2024
Tarura yatakiwa kufikia 85% ya barabara za lami
WAKALA wa Barabara Vijijini na Mijini wametakiwa kusaka vyanzo vipya vya fedha kwa ajili ya miradi ya barabara za lami…
SADC yathibitisha maabara 4 TBS
January 25, 2024
SADC yathibitisha maabara 4 TBS
TAASISI ya Ithibati ya Jumuiya ya nchi za Kusini mwa Afrika (SADCAS) imethibitisha na kuzipatia vyeti vya umahiri maabara nane…
Sh tril. 11 kutekeleza miradi Kigoma
January 23, 2024
Sh tril. 11 kutekeleza miradi Kigoma
KIGOMA: SERIKALI imepeleka sh trilioni 11.4 mkoani Kigoma tangu serikali ya awamu ya sita ya Rais Samia Suluhu Hassan iingie madarakani.…
Kuadimika kwa sukari, 26 mbaroni
January 23, 2024
Kuadimika kwa sukari, 26 mbaroni
BODI ya Sukari imewakamata wafanyabiashara 26 katika mikoa ya Tabora na Arusha kutokana na kupandisha bei ya sukari kiholela. Bodi…
Stamico yatakiwa kujikita kwenye umeme
January 23, 2024
Stamico yatakiwa kujikita kwenye umeme
WAZIRI wa Madini,Anthony Mavunde amelitaka Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kujikita katika kusaidia upatikanaji wa umeme wa uhakika kupitia…
Bashe ataja sababu upungufu wa sukari,tani100,000 zaagizwa
January 20, 2024
Bashe ataja sababu upungufu wa sukari,tani100,000 zaagizwa
WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe amesema hali uzalishaji wa sukari katika viwanda saba nchini imeshuka hadi kufikia tani 1,000 kwa…
Wadakwa kwa pesa bandia
January 18, 2024
Wadakwa kwa pesa bandia
JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani limewakamata watu wanne wakiwa na noti za bandia zenye thamani ya sh milioni 1.5…
TIC: Changamkieni fursa za uwekezaji
January 17, 2024
TIC: Changamkieni fursa za uwekezaji
ARUSHA; Kituo cha Uwekezaji Tanzania(TIC) kimewataka wawekezaji wazawa pamoja na wageni kuchangamkia fursa za uwekezaji zitakazowezesha vijana kupata ajira. Hayo…
Matunda maboresho ya bandari yaanza kuvunwa
January 16, 2024
Matunda maboresho ya bandari yaanza kuvunwa
DAR ES SALAAM:MABORESHO ya bandari yaliyofanywa na Serikali nchini yamefanikisha kutua kwa meli kubwa ya utalii ya Norwegian Dawn yenye…