Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

DC Lushoto ataka mikakati mazao ya biashara

DC Lushoto ataka mikakati mazao ya biashara

TANGA: MKUU wa Wilaya ya Lushoto, mkoani Tanga Japhari Kubecha amewaelekeza maofisa kilimo wa wilaya hiyo kuandaa mpango mkakati wa…
RC Mwanza apokea ujumbe wa SBL

RC Mwanza apokea ujumbe wa SBL

MWANZA: Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda (kushoto) akimsikiliza Meneja Mahusiano wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Neema Temba,…
‘NBC Connect’ yatambulishwa Zanzibar

‘NBC Connect’ yatambulishwa Zanzibar

Zanzibar: Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imetambulisha rasmi huduma yake ya kidigitali ya ‘NBC Connect’ Visiwani Zanzibar. Huduma hiyo…
‘Wekeza NBC Shambani Ushinde’ yampa mkulima trekta

‘Wekeza NBC Shambani Ushinde’ yampa mkulima trekta

Lindi: BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imehitimisha msimu wa tatu wa kampeni yake ya ‘Wekeza NBC Shambani Ushinde’ maalum…
‘Tutaendelea kuweka mazingira mazuri ya biashara’

‘Tutaendelea kuweka mazingira mazuri ya biashara’

ARUSHA; RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema serikali itaendelea kuweka mazingira mazuri ya biashara katika sekta binafsi, ili…
India yaonesha nia duru ya tano mnada wa vitalu

India yaonesha nia duru ya tano mnada wa vitalu

DAR ES SALAAM: Ubalozi wa India nchini umekutana na kufanya mazungumzo na Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli…
NBC yaja na kadi mpya, Dk Biteko akoshwa ufanikishaji miradi

NBC yaja na kadi mpya, Dk Biteko akoshwa ufanikishaji miradi

Dodoma: Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amepongeza jitihada za Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kuunga mkono…
Kodi 20% yashushwa kuvutia uwekezaji

Kodi 20% yashushwa kuvutia uwekezaji

KIGAMBONI, Dar es Salaam: RAIS Samia Suluhu Hassan amesema serikali imepunguza kodi ya makampuni kutoka asilimia 30 hadi 10 kwa…
Wakulima wa pamba macho yote Shinyanga!

Wakulima wa pamba macho yote Shinyanga!

KISHAPU, Shinyanga: MACHO na masikio ya wakulima wa pamba nchini leo yapo mkoani Shinyanga katika Wilaya ya Kishapu, ambapo kunafanyika…
Kampuni ya Ruby yaweka mkazo ajira kwa Watanzania

Kampuni ya Ruby yaweka mkazo ajira kwa Watanzania

MOROGORO; VIJANA zaidi ya 525 wa Kitanzania wamejipatia nafasi za kazi, ambao kati ya hao 125 ni ajira za kudumu…
Back to top button