Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
NFRA wapewa saa 72 kulipa wauzaji mazao
August 31, 2024
NFRA wapewa saa 72 kulipa wauzaji mazao
NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Dk Hussein Mohamed Omar ameuagiza Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) kuhakikisha…
REB yahimiza wakandarasi wazawa kujenga uwezo
August 24, 2024
REB yahimiza wakandarasi wazawa kujenga uwezo
BODI ya Nishati Vijijini(REB) imewahimiza wakandarasi wazawa kujenga uwezo, umahiri na weledi pindi wakabidhiapo miradi na Wakala wa Nishati Vijijini(REA).…
TRA kuwaongezea faida wafanyabiashara
August 23, 2024
TRA kuwaongezea faida wafanyabiashara
MAMLAKA ya Mapato Nchini (TRA) imeweka wazi kuwa itajikita zaidi katika mfumo shirikishi na elimu kwa mlipa kodi ili kuwawezesha…
“Changamoto zisizuie biashara mtandao”
August 23, 2024
“Changamoto zisizuie biashara mtandao”
TAASISI ya Sekta Binafsi nchini (TPSF) imesema licha ya kuwepo kwa fursa mbalimbali za biashara katika Soko Huru la Afrika…
TCB kushirikiana na SMZ kukuza uchumi
August 22, 2024
TCB kushirikiana na SMZ kukuza uchumi
ZANZIBAR: Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imeendelea kusisitiza dhamira yake ya kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar katika vipaumbele vyake…
Benki yaadhimisha miaka 50 tangu kuanzishwa
August 22, 2024
Benki yaadhimisha miaka 50 tangu kuanzishwa
BENKI ya I&M imeadhimisha kumbukizi ya miaka 50 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1974. Maadhimisho hayo yamefanyika wiki hii makao makuu…
Washauriwa kutumia taasisi rasmi huduma za fedha
August 21, 2024
Washauriwa kutumia taasisi rasmi huduma za fedha
WANANCHI Halmashauri ya Mlimba iliyopo wilayani Kilombero mkoani Morogoro wametakiwa kuhakikisha wanatumia taasisi za huduma ndogo za fedha ambazo zimeidhinishwa…
TRA kutumia ‘Ndondo Cup’ kuzuia utumiaji bidhaa hatarishi
August 20, 2024
TRA kutumia ‘Ndondo Cup’ kuzuia utumiaji bidhaa hatarishi
DAR ES SALAAM: MKURUGENZI wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi wa TRA, Richard Kayombo amesema TRA imeamua kutumia michezo katika…
Serikali kuboresha mazingira ya uwekezaji
August 20, 2024
Serikali kuboresha mazingira ya uwekezaji
WAZIRI wa Fedha, Mwigulu Lameck Nchemba ameihakikishia Jumuiya ya Kimataifa na Watanzania kwa ujumla kwamba serikali inaendelea kuweka na kuboresha…
Dola milioni 8 kukuza biashara
August 20, 2024
Dola milioni 8 kukuza biashara
DAR ES SALAAM: SERIKALI ya Marekani kupitia Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID), imesema itatoa uwekezaji wa Dola…