Madini

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Serikali kuendelea kusimamamia miradi ya umeme

NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema wizara hiyo chini ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri mwenye dhamana, Dkt Doto…

Soma Zaidi »

Mavunde aagiza dosari za uchimbaji zifanyiwe kazi Mwakitolyo

WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde amemuelekeza  Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Msafiri Mbibo kufanyia kazi marekebisho ya dosari…

Soma Zaidi »

“Jamii zinufaike uwekezaji madini”

DAR ES SALAAM: KAMPUNI za madini nchini zimetakiwa kuboresha huduma za jamii kwenye vijiji vinavyozunguka migodi ikiwa ni pamoja na…

Soma Zaidi »

Kamati ya ulinzi wilaya Arusha yanasa mafuta ya wizi

LITA1785 za mafuta ya petrol na dizeli yanayodaiwa kuibwa na madereva wa serikali pindi yanapokwenda kuweka katika bohari ya serikali…

Soma Zaidi »

‘Fursa kibao sekta ya madini’

DODOMA: SEKTA ya madini itachangia pato la taifa kwa asilimia 10 ifikapo mwaka 2025. Hatua hiyo inataokana na mikakati mbalimbali…

Soma Zaidi »

Wamiliki migodi Ipango waomba huduma za mawasilinao

WAMILIKI wa migodi na wafanyabiashara wa madini ya vito Spinel katika kijiji cha Ipango kilichopo mji wa Mahenge wilayani Ulanga…

Soma Zaidi »

Dk Biteko afunga semina IRENA

NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amefunga semina ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati…

Soma Zaidi »

Wadhibiti Madini yaliyokuwa yakitoroshwa

MBEYA: MADINI yenye thamani ya Sh milioni 961 yenye uzito wa kilogramu 6.93 yamekamatwa Wilaya ya Chunya , mkoani Mbeya…

Soma Zaidi »

EWURA yavifungia vituo viwili vya mafuta

DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Udhibiti wa huduma za Nishati na maji (EWURA) imevifungia vituo viwili vya Uuzaji mafuta kwa…

Soma Zaidi »

DK Biteko: Watanzania wanahitaji mafuta kwa urahisi

DAR ES SALAAM: Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema Watanzania wanahitaji wapate mafuta kwa urahisi…

Soma Zaidi »
Back to top button