Madini

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Majaliwa awapa 5 Tume ya Madini

DAR ES SALAAM: WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Tume ya Madini ipo thabiti katika kuhakikisha taifa linafaidika na rasilimali ya…

Soma Zaidi »

Yaliyojiri siku ya kwanza Mkutano wa Kimataifa Sekta ya Madini

DAR ES SALAAM: SERIKALI imewahakikishia wawekezaji wakubwa , wa kati na wadogo katika shughuli za madini nchini kuwa itaendelea kuweka…

Soma Zaidi »

Dk Biteko kufungua mkutano wa madini leo

NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko anatarajia kufungua mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji katika Sekta ya…

Soma Zaidi »

Serikali kuwekeza katika teknolojia sekta madini

DAR ES SALAAM: SERIKALI kuwekeza katika teknolojia ya hali ya juu ya tafiti ili kusaidia kupata taarifa za kijiolojia zitakazowezesha…

Soma Zaidi »

Wizara ya Madini waja kisasa zaidi

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde amesema wizara hiyo imejipanga kutumia njia za kisasa za kupata taarifa za…

Soma Zaidi »

Mapato ya halmashauri, Migodi kizungumkuti

GEITA: MKUU wa Wilaya ya Mbogwe Sakina Mohamed amebaini uwepo wa tofauti kubwa ya taarifa ya mapato yaliyoko kwenye vitabu…

Soma Zaidi »

Kapinga azionya Kampuni za uuzaji mafuta

DAR ES SALAAM: NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, amezionya kampuni za uuzaji wa mafuta dhidi ya kuhodhi mafuta, kitendo…

Soma Zaidi »

Taifa Gas kuanza kuzalisha umeme Zambia

ZAMBIA: KAMPUNI ya Taifa Group, imeingia imeingia mkataba wa kuzalisha umeme kwa kutumia gesi nchini Zambia. Mkataba huo umeingiwa na…

Soma Zaidi »

Samia ataka Uzalendo Sekta ya madini

DODOMA: Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inaendelea na mikakati ya kuiboresha sekta ya madini ikiwa ni pamoja na kuwafanya…

Soma Zaidi »

Samia katika ukaguzi wa mitambo ya madini

DODOMA: Rais Samia Suluhu Hassan akikagua baadhi ya mitambo iliyotolewa na Wizara ya Madini kwa Shirika la Madini la Taifa…

Soma Zaidi »
Back to top button