Madini

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

DC Bukombe aipongeza kampuni ya madini

MKUU wa Wilaya ya Bukombe, Said Nkumba ameipongeza kampuni ya madini ya ESAP kwa kutoa msaada wa vifaa vya elimu…

Soma Zaidi »

Wapigwa marufuku kuajiri watoto migodini

WAMILIKI migodi ya madini wilayani Mbogwe wametakiwa kuacha mara moja tabia ya kuajiri watoto wadogo kushiriki shughuli za migodini kwa…

Soma Zaidi »

Mavunde aitaka GGM kuimarisha mahusiano na jamii

GEITA: WAZIRI wa Madini Anthony Mavunde ameitaka Kampuni ya Geita Gold Mine(GGM) kuimarisha mahusiano na jamii inayozunguka mgodi ili wananchi…

Soma Zaidi »

Serikali yaweka mkakati kutatua mgogoro wa miaka 20

GEITA: SERIKALI kupitia Wizara ya Madini imeweka mkakati wa kuhakikisha inatatua mgogoro wa muda mrefu uliodumu zaidi ya miaka 20…

Soma Zaidi »

Mavunde amaliza mgogoro wa wachimbaji wadogo Chamwino

DODOMA: WAZIRI Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amemaliza mgogoro wa wachimbaji wadogo wa madini uliodumu kwa mwaka mmoja katika Kitongoji…

Soma Zaidi »

Utafiti kubaini maeneo yenye mafuta wakamilika

SINGIDA: MRADI wa kuchukua data za mitetemo za 2D katika kitalu cha Eyasi Wembere umefikia mwisho huku wataalamu wakieleza kuwa…

Soma Zaidi »

Nishati isiyochafua mazingira kuipaisha Tanzania

DSM; TANZANIA imetajwa kuwa na nafasi kubwa ya kuwa mzalishaji wa wa nishati safi isiyochafua mazingira kupitia madini ya graphite,…

Soma Zaidi »

Mavunde: GST imeiheshimisha sekta ya Madini

DAR ES SALAAM: TAASISI ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) imeiwezesha sekta ya madini kupiga hatua kiuchumi ikiwemo…

Soma Zaidi »

Serikali kubuni vyanzo vipya kusaidia upatikanaji wa Umeme

IRINGA: Serikali imesema itaongeza upatikanaji wa gesi ili kufidia hali ya upungufu wa umeme nchini unaochangiwa na upungufu wa maji…

Soma Zaidi »

Ubalozi wa Uswidi nchini wazindua lori la gesi asilia

DAR ES SALAAM: KATIKA kuadhimisha miaka 60 ya Ushirikiano kati ya Tanzania na Uswidi, Ubalozi wa Uswidi nchini umezindua kampeni…

Soma Zaidi »
Back to top button