Madini

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Shigela awafariji wachimbaji wadogo

GEITA: MKUU wa Mkoa wa Geita, Martin Shigella ametembelea mgodi wa Kanegere uliopo wilayani Mbogwe na kuwafariji  wachimbaji wadogo baada…

Soma Zaidi »

“Lindi, Mtwara tunatarajia mradi mkubwa wa gesi”

MTWARA: RAIS Samia Suluhu Hassan amesema barabara na miundombinu yote ambayo itahusika na mradi wa Kuchakata na Kusindika Gesi Asilia…

Soma Zaidi »

Wawili wafariki, 28 wakinusurika Mgodini

GEITA: Watu  wawili wamefariki dunia huku wengine 28 wakinusurika baada ya watu 30 waliovamia eneo la mgodi uliozuiliwa kijiji cha…

Soma Zaidi »

Mbunge agawa mitungi 300 ya Gesi kwa makundi mbalimbali

KAGERA, Bukoba,Mbunge wa Viti maalum kupitia asasi zisizo za  kiserikali  NGO,s Neema Lugangira amezindua Kampeni  ya  “Pika kwa Gesi, tunza…

Soma Zaidi »

Saudia, Urusi kupunguza uzalishaji mafuta

LICHA ya changamoto ya upatikanaji na kupanda kwa bei ya mafuta katika soko la dunia, Saudia Arabia na Urusi zimekubaliana…

Soma Zaidi »

Mavunde aahidi ushirikiano

WAZIRI wa Madini Anthony Mavunde ameahidi kuipa ushirikiano Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini katika kutekeleza majukumu…

Soma Zaidi »

Majaliwa akaribisha wawekezaji sekta ya madini

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Kassim Majaliwa amekutana na ujumbe kutoka Korea Kusini uliojumuisha viongozi wa makampuni…

Soma Zaidi »

STAMICO kuja na Mkaa mbadala 2025

DAR ES SALAAM: Shirika la Madini la Taifa la STAMICO  linatarajiwa kuwa ifikapo mwaka 2024/2025  kuzalisha kwa wingi mkaa mbadala…

Soma Zaidi »

Bomba la mafuta laleta neema

ZAIDI ya Watanzania 3619 pamoja na kampuni ya kizawa 50, wamenufaika na fursa ya ajira pamoja na huduma mbalimbali katika…

Soma Zaidi »

Bil 10/- kuwezesha vituo vya petroli vijijini

SERIKALI imetenga Sh bilioni 10 kwa ajili ya mikopo nafuu kwa ajili ya waendeshaji vituo vidogo vya kusambaza bidhaa ya…

Soma Zaidi »
Back to top button