Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
Benki ya Dunia yaisifu Tanzania usimamizi uchumi
April 12, 2023
Benki ya Dunia yaisifu Tanzania usimamizi uchumi
BENKI ya Dunia imeipongeza Tanzania kwa usimamizi mzuri wa uchumi na utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayopata fedha kutoka kwenye…
Mambo yaiva ujenzi SGR Tanzania, Burundi
April 11, 2023
Mambo yaiva ujenzi SGR Tanzania, Burundi
MCHAKATO wa ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kutoka Tanzania hadi Burundi umeanza kufuatia kutangazwa kwa zabuni ya ujenzi wa…
Samia agusa wengi hatua ripoti CAG
April 11, 2023
Samia agusa wengi hatua ripoti CAG
VYAMA vya siasa, wachumi na wananchi ndani na nje ya nchi wamempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuanza kuchukua hatua…
Kweleakwelea waharibu mashamba ya wakulima
April 10, 2023
Kweleakwelea waharibu mashamba ya wakulima
TAKRIBANI heka 1,600 za mashamba ya mpunga Kata ya Kagu, Halmashauri ya Wilaya ya Geita mkoani hapa, zipo hatarini kushambuliwa…
‘Waidhinishaji akaunti 12 TPA si wafanyakazi’
April 7, 2023
‘Waidhinishaji akaunti 12 TPA si wafanyakazi’
UKAGUZI uliofanywa na Mdhibiti Mkuu na Mkaguzi wa hesabu za Serikali (CAG), umebaini hadi kufikia Juni 30, 2022 Mamlaka ya…
Vijana wafundwa uboreshaji wa bidhaa
April 7, 2023
Vijana wafundwa uboreshaji wa bidhaa
VIJANA wabunifu wameagizwa kutengeneza bidhaa zenye mahitaji sokoni ili kuwa na ubora zaidi utakaowawezesha kupata masoko na kujiajiri Agizo hilo…
Sh milioni 200 zatengwa majukwaa ya wanawake
April 6, 2023
Sh milioni 200 zatengwa majukwaa ya wanawake
KWA mwaka 2023/24, Serikali imetenga Sh milioni 200 kwa ajili ya kugharamia majukwa ya wananake. Haya yameelezwa jijini Dodoma na…
Ziara Makamu wa Rais Marekani yaleta neema
April 6, 2023
Ziara Makamu wa Rais Marekani yaleta neema
SERIKALI ya Marekani imeahidi kujenga kiwanda kikubwa nchini Tanzania cha kuchakata madini aina ya nickel yatakayotumika kutengeneza betri za gari…
CAG abaini mikopo ya Sh Bil 88 haikukusanywa
April 6, 2023
CAG abaini mikopo ya Sh Bil 88 haikukusanywa
MAMLAKA za Serikali za Mitaa hazikuweza kukusanya mikopo iliyotolewa kwenye vikundi vya Wanawake, Vijana, na Watu wenye Ulemavu, yenye jumla…
Bei za petroli, dizeli zapungua
April 5, 2023
Bei za petroli, dizeli zapungua
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kupungua bei za mafuta ya petroli, dizeli na mafuta…