Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Samia akerwa ongezeko fedha kununulia ndege

Samia akerwa ongezeko fedha kununulia ndege

RAIS Samia Suluhu Hassan amekasirishwa na ongezeko la fedha za kununulia ndege mpya ya mizigo ya Air Tanzania kinyume na…
Hakuna nyaraka sahihi malipo Sh Bil 1.95 Tanapa

Hakuna nyaraka sahihi malipo Sh Bil 1.95 Tanapa

MAMLAKA ya Hifadhi ya Taifa (TANAPA),  imefanya malipo mbalimbali yenye thamani ya Sh bilioni 1. 95 kupitia hati za malipo…
Mashirika 7 yasaini mikataba kinyume cha sheria

Mashirika 7 yasaini mikataba kinyume cha sheria

MASHIRIKA saba ya umma yamesaini mikataba ya Sh bilioni 45. 71 na Dola milioni 7.75 bila kupekuliwa na Mwanasheria Mkuu…
CAG abaini hasara mashirika 14

CAG abaini hasara mashirika 14

MASHIRIKA 14 ya umma ya kibiashara yamepata hasara katika uendeshaji. Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali…
ATCL yapata hasara Sh Bil. 35

ATCL yapata hasara Sh Bil. 35

KAMPUNI ya Ndege Tanzania (ATCL), imepata hasara ya Sh bilioni 35. 23 katika mwaka wa fedha 2021/22. Ripoti ya Mdhibiti…
Deni la serikali lafikia Sh tril.71

Deni la serikali lafikia Sh tril.71

MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere amesema mpaka kufikia Juni 30, 2022 deni la serikali…
Dk Mwinyi apongezwa nia kubinafsisha mashirika

Dk Mwinyi apongezwa nia kubinafsisha mashirika

WADAU wa sekta binafsi na wachumi wamesema Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ana lengo sahihi kutaka kuyakabidhi mashirika ya…
Kamati yamaliza utata kilo nne za tanzanite

Kamati yamaliza utata kilo nne za tanzanite

KAMATI ya wataalamu wa ramani mgodini kutoka Chuo cha Madini Dodoma imetoa ripoti kwamba madini kilo nne yalichimbwa mita 650…
NALA kuwekeza zaidi ya bil 2/- baada ya kupata ‘baraka’ za BOT

NALA kuwekeza zaidi ya bil 2/- baada ya kupata ‘baraka’ za BOT

KAMPUNI ya Kitanzania inayotoa huduma ya malipo kwa njia ya kieletroniki, NALA, imepewa leseni na Benki Kuu (BOT) itakayowezesha kufanya…
Washauri serikali itumie wataalamu kukuza uchumi

Washauri serikali itumie wataalamu kukuza uchumi

SERIKALI imeshauriwa kutumia wataalamu na watafiti kutoka katika vyuo vikuu kufanya utafi ti kujua matatizo halisi yanayowakabili wananchi kama sehemu…
Back to top button