Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

EABC yateua Watanzania 3 ubalozi

EABC yateua Watanzania 3 ubalozi

BARAZA La Biashara Afrika Mashariki (EABC), limewateua Watanzania watatu kuwa mabalozi wa baraza hilo nchini. Kwa mujibu wa taarifa kutoka…
Watakiwa kutumia fursa kituo cha utafiti ufugaji samaki

Watakiwa kutumia fursa kituo cha utafiti ufugaji samaki

MKUU wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila amewataka wananchi wa Kijiji cha Rubafu, Wilaya ya Bukoba kutumia fursa ya ujenzi…
RC Kagera ataka mabadiliko ya kilimo mwaka 2023

RC Kagera ataka mabadiliko ya kilimo mwaka 2023

MKUU wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila amedhamiria kuanza mwaka 2023 kwa kuhakikisha wakazi wa Kagera wanainuka kiuchumi kupitia kilimo…
TRA yakusanya Sh tril.12.4 nusu mwaka

TRA yakusanya Sh tril.12.4 nusu mwaka

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imeeleza kuwa katika kipindi cha nusu ya kwanza ya Mwaka wa Fedha 2022/23 kuanzia mwezi…
Mwigulu aipongeza MHB mtandao wake ukiwafikia wajasiriamali, miundombinu

Mwigulu aipongeza MHB mtandao wake ukiwafikia wajasiriamali, miundombinu

WAZIRI wa Fedha Dk Mwigulu Nchemba ameipongeza Benki ya Mwanga Hakika (MHB) kwa kuendelea kutanua mtandao wake ambao hadi sasa…
Majaliwa: Anzisheni majukwaa ya kiuchumi

Majaliwa: Anzisheni majukwaa ya kiuchumi

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameagiza viongozi na watumishi katika balozi waendelee kufanya tathmini ya fursa za kiuchumi, ambazo Tanzania inaweza…
Kiwanda cha kisasa mazao ya mifugo kujengwa Z’bar

Kiwanda cha kisasa mazao ya mifugo kujengwa Z’bar

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), inatarajia kujenga kiwanda chenye teknolojia za kisasa kwa àjili ya  kuchakata mazao ya mifugo,…
Wakulima Songwe waanza kunufaika na mgao wa mbolea

Wakulima Songwe waanza kunufaika na mgao wa mbolea

Wakulima Wilayani Songwe wameanza kunufuaika na upatikanaji wa mbolea ya ruzuku ambapo Kata za Gua, Kapalala, Ngwala, Saza na Mkwajuni…
TRA Kariakoo yatoa elimu kuhusu kudai risiti

TRA Kariakoo yatoa elimu kuhusu kudai risiti

MENEJA wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Mkoa wa Kikodi Kariakoo, Alex Katundu, amezindua kampeni ya Twende Nao Tukawaelimishe, yenye…
ZRB yavuka malengo ukusanyaji wa mapato

ZRB yavuka malengo ukusanyaji wa mapato

Bodi ya Mapato ya Zanzibar (ZRB) imevuka malego yake ya ukusanyaji wa mapato kwa mwaka huu wa fedha kuanzia Julai…
Back to top button