Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Rais Samia: Msiogope kushirikiana na wakosoaji

Rais Samia: Msiogope kushirikiana na wakosoaji

Rais Samia Suluhu Hassan, amewataka viongozi  mbalimbali kushirikiana na wadau wanaohisi wana mchango mzuri kwenye maendeleo ya taasisi zao. –…
Samia: Maendeleo ni haki ya Watanzania

Samia: Maendeleo ni haki ya Watanzania

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi katika sekta mbalimbali kujali na kuthamini maendeleo, akisema kuwa ni haki ya Watanzania kuiona…
Samia ataka Watanzania kuchangamkia fursa

Samia ataka Watanzania kuchangamkia fursa

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kuchangamkia fursa mbalimbali zinazojitokeza, kwani fursa huja na kupotea kwa haraka. – Rais Samia…
Wawekezaji waitwa Katavi

Wawekezaji waitwa Katavi

WAWEKEZAJI nchini wameombwa kuendelea kuwekeza katika Wilaya ya Tanganyika na Mkoa wa Katavi kwa ujumla kwa kuwa serikali inaendelea na…
Msajili wa Hazina ataka ufanisi taasisi, mashirika

Msajili wa Hazina ataka ufanisi taasisi, mashirika

MSAJILI wa Hazina Nehemia Mchechu ameanza kuzifanyia tathimini taasisi na mashirika ya serikali, akisema kiu yake kubwa ni kuona taasisi…
Wadau utalii kuanza kupokea mikopo

Wadau utalii kuanza kupokea mikopo

WADAU wa sekta ya utamaduni na sanaa wanatarajia kuanza kupokea mikopo mwezi Agosti mwaka 2023. Akitoa taarifa hiyo siku ya…
Watafiti wabaini teknolojia rahisi ya upandaji wa pamba

Watafiti wabaini teknolojia rahisi ya upandaji wa pamba

MKULIMA wa pamba kutoka Kata ya Nkoma wilayani Meatu mkoani Simiyu, Shoga Fares anaelezea jinsi alivyopata elimu ya kilimo bora…
“Ukamataji wakulima Kahawa waangaliwe upya”

“Ukamataji wakulima Kahawa waangaliwe upya”

MBUNGE wa Jimbo la Muleba Kusini, Dk Oscr Kikoyo amewaomba Mkuu wa Wilaya ya Muleba na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri…
Wadau wajadili vizingiti vya utalii ukanda wa Kagera

Wadau wajadili vizingiti vya utalii ukanda wa Kagera

WADAU wa utalii kupitia maonesho ya kibiaahara uwekezaji na utalii East Afrika Expo yanayoendelea mkoani Kagera wamefanya kongamano la kujadili…
Kituo kikubwa cha mikutano kujengwa Arusha

Kituo kikubwa cha mikutano kujengwa Arusha

KITUO kikubwa cha mikutano kiitwacho Mount Kilimanjaro Convention Center kinatarajiwa kujengwa jijini Arusha. Kwa mujibu wa Msemaji Mkuu wa Serikali,…
Back to top button