Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
Wafanyabiashara Soko la Mbagala Rangi Tatu walalama
April 2, 2023
Wafanyabiashara Soko la Mbagala Rangi Tatu walalama
BAADHI ya wafanyabiashara wa Soko la Mbagala Rangi Tatu lililoko jijini Dar es Salaam wameiomba serikali kuingilia kati mgogoro unaoendelea…
Wasafirishaji: Muda wa ndege uzingatiwe kuhimili ushindani
April 1, 2023
Wasafirishaji: Muda wa ndege uzingatiwe kuhimili ushindani
WASAFIRISHAJI wa bidhaa za Tanzania nje ya nchi wameomba waendeshaji wa ndege ijayo ya mizigo kuzingatia muda, ili waweze kumudu…
TEF yapongeza uwekezaji PSSSF
April 1, 2023
TEF yapongeza uwekezaji PSSSF
JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limeeleza ya kwamba nchi zilizoendelea, Mifuko ya Hifadhi ya Jamii imekuwa chanzo kikubwa cha kukuza…
Samia aikaribisha Marekani uwekezaji maeneo matano
March 31, 2023
Samia aikaribisha Marekani uwekezaji maeneo matano
RAIS Samia Suluhu Hassan ameihakikishia nchi ya Marekani kwamba Tanzania ina dhamira ya dhati kutekeleza maeneo yaliyokubaliwa kushirikiana baina ya…
Mabula: Vijana hawaaminiki
March 30, 2023
Mabula: Vijana hawaaminiki
MAKAMU Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) Stanslaus Mabula amesema kuwa takwimu…
Watakiwa kutopandisha bei
March 30, 2023
Watakiwa kutopandisha bei
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Tanga Rajab Abdurahman amewasihi wafanyabiashara katika masoko kutopandisha bidhaa kiholela hasa katika…
Samia atoa maelekezo TTCL, NDC
March 29, 2023
Samia atoa maelekezo TTCL, NDC
RAIS Samia Suluhu amelitaka Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), liachane na biashara ya simu, huku akilitaka Shirika la Maendeleo la…
Samia atoa maagizo mifumo TRA, bandari
March 29, 2023
Samia atoa maagizo mifumo TRA, bandari
RAIS Samia Suluhu Hassan amekerwa kwa mifumo ya bandari na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutosomana. Akizungumza leo Machi 29,…
Samia akerwa ongezeko fedha kununulia ndege
March 29, 2023
Samia akerwa ongezeko fedha kununulia ndege
RAIS Samia Suluhu Hassan amekasirishwa na ongezeko la fedha za kununulia ndege mpya ya mizigo ya Air Tanzania kinyume na…
Hakuna nyaraka sahihi malipo Sh Bil 1.95 Tanapa
March 29, 2023
Hakuna nyaraka sahihi malipo Sh Bil 1.95 Tanapa
MAMLAKA ya Hifadhi ya Taifa (TANAPA), imefanya malipo mbalimbali yenye thamani ya Sh bilioni 1. 95 kupitia hati za malipo…