Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
Tanzania yajipanga kufanikisha jukwaa la kimataifa AGRF-2023
May 15, 2023
Tanzania yajipanga kufanikisha jukwaa la kimataifa AGRF-2023
IKIWA na lengo la kuwa kitovu cha uhakika wa chakula kimataifa, Tanzania inayosifika kwa uzalishaji wa chakula katika eneo la…
TRA yaonya wafanyabiashara wadanganyifu
May 15, 2023
TRA yaonya wafanyabiashara wadanganyifu
MAMLAKA ya Mapato (TRA) Mkoa wa Katavi, imetangaza kuwachukulia hatua za kisheria wafanyabiashara watakaobainika kufanya udanganyifu kwa kutoa risiti za…
TPA yakana urasimu utoaji huduma bandarini
May 15, 2023
TPA yakana urasimu utoaji huduma bandarini
MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imesema uwekezaji uliofanywa katika bandari nchini umeongeza ufanisi wa uwezo wa kupakua shehena…
Majaliwa kuzungumza na wafanyabiashara Kariakoo
May 15, 2023
Majaliwa kuzungumza na wafanyabiashara Kariakoo
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa anatarajia kukutana na Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Soko la Kariakoo Mei 17, 2023 kwa ajili ya…
Sakata la mgomo Kariakoo laibukia bungeni
May 15, 2023
Sakata la mgomo Kariakoo laibukia bungeni
SAKATA la mgomo wa wafanyabiashara ulioanza leo asubuhi katika soko la Kariakoo umeliteka Bunge, jijini Dodoma huku wabunge wakitaka serikali…
China kuitumia Tanzania kuzalisha bidhaa za ngozi
May 15, 2023
China kuitumia Tanzania kuzalisha bidhaa za ngozi
KAMPUNI ya kuzalisha bidhaa za ngozi vikiwemo viatu ya Huajian Group ya China inajipanga kuja kuwekeza nchini kuanzia mwaka huu.…
Watanzania mil.8.5 kufikiwa mawasiliano
May 13, 2023
Watanzania mil.8.5 kufikiwa mawasiliano
MTENDAJI Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF), Justina Mashiba amesema Watanzania milioni 8.5 watafikiwa na huduma za mawasiliano…
Waajiri wanaokwepa mikataba kukiona
May 13, 2023
Waajiri wanaokwepa mikataba kukiona
KATIKA kudhibiti waajiri wanaonyanyasa na kuwadhulumu wafanyakazi kwa kukwepa kuwapa mikataba na kuwatumia kama vibarua, serikali imetangaza kuanza ukaguzi wa…
TARURA wafanya kweli barabara Musoma-Bunda
May 12, 2023
TARURA wafanya kweli barabara Musoma-Bunda
WAKALA wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) mkoani Mara inajenga Barabara yenye Kilomita 11, ambayo inaunganisha Wilaya za Musoma…
Wakulima wa korosho watakiwa kuongeza mazao
May 12, 2023
Wakulima wa korosho watakiwa kuongeza mazao
WAKULIMA wa Korosho mkoani Mtwara wametakiwa kuhakikisha wanalima mazao mengi zaidi ili ikitokea changamoto ya mavuno kwenye korosho kuwe na…