Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

‘Sekta ya usafirishaji inahitaji wataalamu wa kutosha’

‘Sekta ya usafirishaji inahitaji wataalamu wa kutosha’

WAZIRI wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amesema sekta ya usafirishaji inahitaji wataalamu wa kutosha kwa ajili ya kufanya kazi katika…
Wajasiriamali kupewa elimu uzalishaji bidhaa bora

Wajasiriamali kupewa elimu uzalishaji bidhaa bora

NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Exaud Kigahe amewaagiza wataalam wa uthibitisho wa ubora kutoka Shirika la Viwango Tanzania (TBS),…
TBA yawaita wawekezaji katika miradi yake

TBA yawaita wawekezaji katika miradi yake

DAR ES SALAAM: WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA) imetoa wito kwa wawekezaji wa sekta binafsi na Taasisi za Fedha kuwekeza…
Atakaefanya udanganyifu katika biashara faini Sh milioni 1.5

Atakaefanya udanganyifu katika biashara faini Sh milioni 1.5

GEITA: MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani Geita imewatahadharisha wafanyabiashara wanapotoa risiti za Mashine za Kielektoniki (EFD) kuhakikisha zinakuwa na…
Wafanyabiashara 95 kupata uzoefu China

Wafanyabiashara 95 kupata uzoefu China

WAFANYABIASHARA  zaidi ya 95 watashiriki maonesho mafunzo ya wajasiliamali katika onesho la  Canton Fair linaloondelea nchini China, kupitia Chama cha…
Tanzania kupambana mabadiliko tabia nchi

Tanzania kupambana mabadiliko tabia nchi

SERIKALI imesaini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano na Shirika la NORAD la nchini Norway kwa ajili ya tafiti za kupambana…
Waliotelekeza vibanda vyao SIMU 2000 warejea

Waliotelekeza vibanda vyao SIMU 2000 warejea

DSM: WAFANYABIASHARA waliotelekeza vibanda vyao katika Soko la Simu 2000 mkoani Dar es Salaam, wameanza kurudi kutokana na maboresho yaliyofanyika.…
Sh bilioni 1 kuboresha soko Manzese

Sh bilioni 1 kuboresha soko Manzese

KIASI cha Sh bilioni 1.3 zimetengwa na Manispaa ya Ubungo mkoani Dar es Salaam, kwa ajili ya utekelezaji wa mradi…
Ujenzi Soko la Kariakoo tayari kumenoga

Ujenzi Soko la Kariakoo tayari kumenoga

DSM; UJENZI wa Soko la Kariakoo lililopo mkoani Dar es Salaam umefikia asiliamia 91, ambapo kiasi cha fedha kilichotumika ni…
Wafanyabiashara Kagera wafundwa ulipaji kodi

Wafanyabiashara Kagera wafundwa ulipaji kodi

MKUU wa Mkoa wa Kagera, Fatma Mwassa amewataka wafanyabiashara kuwajibika kulipa kodi kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ili kufanya…
Back to top button