Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

‘Uhusiano Tanzania, Indonesia utandelea kudumu’

‘Uhusiano Tanzania, Indonesia utandelea kudumu’

DAR ES SALAAM; Indonesia na Tanzania zimesherehekea historia ya uhusiano wa mataifa hayo mawili katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa…
Mkandarasi Kariakoo atakiwa kuharakisha

Mkandarasi Kariakoo atakiwa kuharakisha

DAR ES SALAAM: MKANDARASI anayekarabati soko la Kariakoo Estim Construction Limited ametakiwa kuongeza kasi ya kukamilisha mradi huo ili taratibu…
NCCR Mageuzi waipa tano serikali mkataba na Dp World

NCCR Mageuzi waipa tano serikali mkataba na Dp World

CHAMA cha NCCR Mageuzi kimeipongeza serikali kuingia mkataba na DP World kuwa una manufaa zaidi kwa watanzania kwani serikali inapata…
Sh milioni 400 zapeleka Neema Nyang’hwale

Sh milioni 400 zapeleka Neema Nyang’hwale

GEITA: SERIKALI imetumia kiasi cha Sh milioni 486 kununua vifaa vya kisasa mahususi kwa ajili ya kutolea huduma za afya…
‘Fursa bandari Dar itachochea kukuza uchumi’

‘Fursa bandari Dar itachochea kukuza uchumi’

DAR ES SALAAM; Serikali imesema uwekezaji katika Bandari ya Dar es Salaam utaiwezesha Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), kuongeza mapato…
Wakurugenzi, Ma-RC kueleza utekelezaji majukumu yao

Wakurugenzi, Ma-RC kueleza utekelezaji majukumu yao

DAR ES SALAAM; Idara ya Habari (Maelezo), imeandaa programu maalum ya kuwakutanisha Wakuu wa Mikoa, Wakurugenzi wa Halmashauri zote kwenye…
Watakiwa kuzingatia weledi, usiri ukusanyaji taarifa

Watakiwa kuzingatia weledi, usiri ukusanyaji taarifa

KATIBU Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Dk Hashil Abdallah, amewatahadharisha wadadisi na wasimamizi wa utafiti wa shughuli za kiuchumi…
ANTU: ‘Uwekezaji Bandari Dar utawainua wamachinga’

ANTU: ‘Uwekezaji Bandari Dar utawainua wamachinga’

DAR ES SALAAM: UWEKEZAJI katika Bandari ya Dar es Salaam umeelezwa kuwa ni chachu ya mafanikio kwa wafanyabiashara ndogo ndogo…
Vitambulisho kidijitali kuwapa mikopo Machinga

Vitambulisho kidijitali kuwapa mikopo Machinga

KAMISHNA wa ustawi wa Jamii,  Nandera Mhando amesema serikali imekuwa ikishughulikia kanzidata za Kitaifa ili kuwaunganisha wafanyabiashara ndogo ndogo wote…
Wakuliwa waaswa kilimo cha umwagiliaji matone

Wakuliwa waaswa kilimo cha umwagiliaji matone

WAKULIMA wameaswa kujikita katika teknolojia ya kilimo cha umwagiliaji wa matone ili kuleta matokeo chanya katika shughuli zao za kilimo…
Back to top button