Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
Bajeti ya Kenya sh trilioni 63.2
June 15, 2023
Bajeti ya Kenya sh trilioni 63.2
SERIKALI ya Rais William Ruto imewasilisha bajeti yake ya kwanza ya Sh trilioni 3.7 za kenya (TSh trilioni 63.2) ikipania…
Serikali yapendekeza bajeti ya sh trilioni 44.39
June 15, 2023
Serikali yapendekeza bajeti ya sh trilioni 44.39
SERIKALI imependekeza mapato na matumizi ya Sh trilioni 44.39 kama bajeti kwa mwaka wa fedha 2023/24. Waziri wa Fedha na…
Bajeti Uganda sh yafikisha trilioni 34
June 15, 2023
Bajeti Uganda sh yafikisha trilioni 34
WAZIRI wa Fedha wa Uganda Matia Kasaija amewasilisha hotuba ya mapato na matumizi ya Serikali ya Rais Yoweri Musevini imeonge…
Hakuna ushuru magari ya gesi, umeme
June 15, 2023
Hakuna ushuru magari ya gesi, umeme
SERIKALI inakusudia kusamehe ushuru wa bidhaa unaotozwa kwa mujibu wa uwezo wa injini (engine capacity) kwenye magari yanayotumia nishati ya…
Michezo ya kubahatisha, tozo juu
June 15, 2023
Michezo ya kubahatisha, tozo juu
SERIKALI inakusudia kuongeza tozo ya michezo ya kubahatisha kutoka shilingi 10,000 hadi Shilingi 30,000 kwa kila mashine ya Sloti kwenye…
Deni la Taifa bado himilivu – Mwigulu
June 15, 2023
Deni la Taifa bado himilivu – Mwigulu
DENI la Serikali hadi Aprili 2023, lilikuwa shilingi trilioni 79.10, sawa na ongezeko la asilimia 13.9 ikilinganishwa na shilingi trilioni…
Sh 100 kuongezwa kwa kila lita ya Dizeli, Petroli
June 15, 2023
Sh 100 kuongezwa kwa kila lita ya Dizeli, Petroli
SERIKALI imependekeza kufanya marekebisho kwenye Sheria ya Ushuru wa Barabara na Mafuta, Sura 220 kwa kuongeza Ushuru wa Barabara na…
Marufuku kufunga biashara- Mwigulu
June 15, 2023
Marufuku kufunga biashara- Mwigulu
SERIKALI imepiga marufuku utaratibu unaochipukia kwa kasi wa taasisi mbalimbali za Serikali na Halmashauri kufunga biashara, ofisi na maeneo mengine…
Madudu haya kero kwa wawekezaji – Mwigulu
June 15, 2023
Madudu haya kero kwa wawekezaji – Mwigulu
WAZIRI wa Fedha na Mipango, Mwigulu Nchemba amesema kuwa wawekezaji wa nje wamekuwa wakikutana na vikwazo vingi kuliko uwezeshaji ndani…
Matangazo mtandaoni kutozwa kodi
June 15, 2023
Matangazo mtandaoni kutozwa kodi
SERIKALI inatarajia kuanzisha mfumo wa kidijitali wa kufuatilia na kuhakikisha kodi husika za Serikali zinalipwa kwa wakati kwa matangazo ya…