Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Zaidi ya magari 2000 hupakuliwa bandari ya Dar kila siku

Zaidi ya magari 2000 hupakuliwa bandari ya Dar kila siku

MAMLAKA ya Bandari nchini (TPA) imesema inapokea zaidi ya magari 2,000 kila siku kupitia Bandari ya Dar es Salaam ambapo…
Tanzania, Burundi zampa mtu binafsi kujenga SGR

Tanzania, Burundi zampa mtu binafsi kujenga SGR

SERIKALI za Tanzania na Burundi zimeshasaini makubaliano ya kujenga Reli ya Kisasa (SGR) kutoka Uvinza hadi Gitega kupitia machimbo ya…
Biashara ya nguo yadorora kuelekea sikukuu

Biashara ya nguo yadorora kuelekea sikukuu

ZIKIWA zimebaki siku nne kuadhimishwa kwa sikukuu ya Krismasi, wafanyabiashara wa nguo mkoani Dar es Salaam wamesema biashara ya bidhaa…
Ujenzi reli ya Tabora-Kigoma waiva

Ujenzi reli ya Tabora-Kigoma waiva

KIPANDE cha ujenzi wa reli ya kati Tabora- Kigoma kitagharimu dola za Marekani bilioni 2.7 sawa na shilingi trilioni 6.34.…
‘Tumieni lugha rahisi kueleza umuhimu wa bima’

‘Tumieni lugha rahisi kueleza umuhimu wa bima’

Katibu Mkuu Utumishi Dk Laurean  Ndumbaro, amewataka watumishi wa bima nchini kuhakikisha wanatoa elimu kwa lugha rahisi, ili kuwasaidia wananchi…
Wadau wa usafiri wapinga viwango vya nauli za SGR

Wadau wa usafiri wapinga viwango vya nauli za SGR

WADAU wa masuala ya usafiri nchini wamepinga viwango vya nauli za abiria zilizopendekezwa na Shirika la Reli Tanzania (TRC) kwa…
Tanzania yavuna soko la sabuni EAC

Tanzania yavuna soko la sabuni EAC

NCHI tatu za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zimekuwa soko la sabuni zinazozalishwa na viwanda vikubwa vya Tanzania; amesema Naibu…
Maziwa yakoleza sumu kwenye viuatilifu-Utafiti

Maziwa yakoleza sumu kwenye viuatilifu-Utafiti

WAKULIMA wametakiwa kutotumia maziwa kama huduma ya kwanza wanapoathiriwa na viuatilifu wakati wa kuvitumia katika mazao shambani au nyumbani. Angalizo…
Akaribisha kampuni za bima za India kuwekeza

Akaribisha kampuni za bima za India kuwekeza

BALOZI wa India nchini , Binaya Pradhan amezitaka kampuni zinazotoa huduma za bima kuwekeza Tanzania, kwa kuwa kuna fursa nyingi…
Serikali yatoa kauli ongezeko bei za vyakula

Serikali yatoa kauli ongezeko bei za vyakula

SERIKALI imewahakikishia Watanzania kuwa hakuna maeneo yatakayokosa chakula kwa kuwa inayo hifadhi ya kutosha huku ikisisitiza kuwa, bei ya bidhaa…
Back to top button