Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
Kuboreshwa Bandari Kigoma kutachochea biashara
July 29, 2023
Kuboreshwa Bandari Kigoma kutachochea biashara
WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa, amesema kuwa ujenzi wa gati la kuegeshea boti kubwa katika bandari ya…
MKUTANO WA TGS: Ajenda ya uchumi wa buluu yamkosha Katibu Mkuu Kiongozi
July 29, 2023
MKUTANO WA TGS: Ajenda ya uchumi wa buluu yamkosha Katibu Mkuu Kiongozi
ZANZIBAR KATIBU Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) Mhandisi Zena Ahmed Said ameipongeza Jumuiya ya Wajiolojia nchini (TGS)…
Nape ataka posta wawe wabunifu kujitangaza
July 28, 2023
Nape ataka posta wawe wabunifu kujitangaza
WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, ameliagiza Shirika la Posta Tanzania (POSTA) kuwa wabunifu katika kutangaza…
Mashirika yatakayofutwa hadharani mwezi ujao
July 28, 2023
Mashirika yatakayofutwa hadharani mwezi ujao
MSAJILI wa Hazina, Nehemia Mchechu amesema mwezi ujao wanatarajia kutangaza mashirika na kampuni zitakazofutwa, kuunganishwa na zitakazopewa muda wa kurekebisha…
Ndege ya mizigo ATCL kusafirisha chanjo DRC
July 28, 2023
Ndege ya mizigo ATCL kusafirisha chanjo DRC
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF limeamua kutumia ndege mpya ya kisasa ya mizigo Boeing 767-300 inayomilikiwa…
Serikali: Hatuuzi, hatubinafsishi bandari
July 28, 2023
Serikali: Hatuuzi, hatubinafsishi bandari
SERIKALI imesema hadi sasa haijapata kampuni ya kuwekeza katika bandari na haitauza au kubinafsisha bandari yoyote. Msemaji Mkuu wa Serikali,…
Majaliwa akaribisha wawekezaji kwenye mbolea
July 27, 2023
Majaliwa akaribisha wawekezaji kwenye mbolea
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewaalika wawekezaji waliobobea kwenye sekta ya mbolea ili waje kufungua viwanda vya mbolea nchini. Ametoa mwaliko…
Kodi ya majengo yapanda
July 26, 2023
Kodi ya majengo yapanda
MAMLAKA ya mapato Tanzania (TRA) kwa kushirikiana na shirika la umeme Tanzania (TANESCO) imeeleza kuwa serikali imefanya mabadiliko ya sheria…
Dar watakiwa kutumia fursa
July 21, 2023
Dar watakiwa kutumia fursa
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewataka wananchi wa mkoa huo kukuza kipato na kuimarisha uchumi kupitia…
Uhaba wa vitunguu wapaisha bei
July 21, 2023
Uhaba wa vitunguu wapaisha bei
UHABA wa vitunguu katika soko la Ilala jijini Dar es Salaam, umesababisha bei ya vitunguu kuwa juu na kufikia kati…